Hicho walicho kwambia ndo uingie nacho kwenye maombi...jiombee mwenyewe...omba mpaka upate wepesi... possibly kuna mikosi kweli au uoga tu vyote viondoe kupitia maombi.... Unadhani mtumishi akikuombea atakwambia nini?
Una wazazi?
Sungumza nao... Kama kuna wanacho kijua kuhusiana na jambo lako watakwambia... matatizo mengine yaaweza kuwa yapo kwenye familia...maagano ya wazazi au mababu halafu mnakuja kuyabeba bila kujua....
Familiar ya alie fariki unaifahamu vizuri? Au inaweza kuwa ni siku yake tu imefika...
Mbongo kwenye kazi ya mweupe halafu ukute ana ka cheo..huwa na figisu mbaya sana.
Ukirudi fanya kilicho kupeleka marafiki weka pembeni mana hao hao watatumika kuwa anguko lako.
Fanya kazi kwa malengo siku ifike ukafanye yako.
Pantaka rangi hiyo.. mimi iko taka Ile pale....ukileta ile.. hapana hapana mama ngoja mimi ingia kuchagua mwenyewe..hapo atavuruga shelfu lote na asinunue
Kuna mwingine atatumia udhahifu wako wa kumfichia ujinga wake kuendeleza zaidi....ukiongea itakusaidia kuyatoa moyoni na kumpuuzia asiendelee kukuumiza.....
Kikubwa sema kwa watu wako unao waamini ..zaidi wa familia yako sio marafiki mana siku mmepishana tu kidogo umekwisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.