Mungu wenu nyie ni nani? Kinacho kufanya ujione uko sahihi kuliko wengine ni kitu gani? Kwani ukitulia kwenye imani yako na wengine wabaki kwao mtapungukiwa na nini?
Tunako elekea utasikia kateuliwa Fulani kua mwalimu wa shule ya msingi na mwingine kateuliwa kua muuguzi... Hakuna ajira mpya lkn zipo za kupewa kina mwa fulani...... Asante Mungu kwa kunifanya nizoee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.