Hivi hayo mabilioni ambayo jambazi la Richmond linayatumia kutengeneza hiyo filamu yatalipwaje? Ikulu kuna biashara gani hata atumie hela zote hizo kuingia? Hana mvuto wa kuwa Rais labda tu anaweza kuwa bongomovie superstar
ACT iwatishe CHADEMA? Kweli haya maajabu tatizo CCM wanatumia na kukifadhili ACT ko kipo kudhoofisha CDM jambo ambalo bado ni ndoto za mchana
Eti mzimu wa Zitto uwaweweseshe CDM hapo ni sawa na kutishwa na kinyago ulichochonga mwenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.