Karibuni #Korosho kwa bei nafuu kabisa ya kutupa zenye ubora na utamu wa HALI YA JUU. Na tunafanya DERIVERY popote ndani ya MIPAKA ya TZ.
BEI ZETU;
Kg 1 unajipatia kwa Tshs. 25,000/=
TUNAUZA KWA BEI ZA JUMLA PIA KUANZIA KGS 10.
Pia kampuni yetu cha CHILUMBA CASHEWS SUPPLIER inasimama kama...
Karibuni Korosho kwa bei nafuu kabisa ya kutupa zenye ubora na utamu wa HALI YA JUU.
Na tunafanya DERIVERY popote ndani ya MIPAKA ya TZ.
BEI ZETU;
Kg 1 unajipatia kwa Tshs. 25,000/=
Nusu unajipatia kwa Tshs 12,000/=
JUMLA TUNAELEWANA kuanzia Kgs 10 Kulingana na kiasi matajiri zetu Mtahitaji...
Naamini wale ndugu zake Mzee Baba hayati Odinga kwasasa wamekaa KIDALALI sana na Msomi Sifuna kawashtukia mapema na vijana wa sasa WEPESI kuelewa mambo wataachiwa na NCCR AMA CUF mtaji ni watu.
Sawasawa, ndio maana hivi sasa baada ya kupata support ya VIJANA WA KENYA (majirani zetu) amekuwa mwiba sana.
But kwenye hilo la kutaka kusimamisha mgombea wako sahihi hawapaswi kuendelea kuwa lesso ya kina RUTO wakishafanya mambo yao ya hovyo.
Awakamatie hivyo hivyo E.Sifuna yuko na energy ya...
Kwenye dini (zote) sisi WAUMINI (MAAMUMA) tunafundishwa kukariri na sio KUELEWA mambo kiundani wala KUHOJI utaskia unaambiwa UNAKUFURU ! Lakini Mungu huyo huyo ndiye aliyetupatia maarifa.
Ahsante sana, kwa ufupi tu mimi binafsi ni Mwanasheria na Mkulima pia wa hili zao almost 10yrs sasa.
HIZI KOROSHO, Tozo kila mahali, 1.pembejeo kwenye kuandaa mashamba mtihani,
2. Ukishazivuna Ukipeleka gulioni unakwatwa Kilo 1 ya gunia(lazima)
3. Ukishaziuza gulioni unakatwa not less than 200+...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.