Kuna passo apa inavipengele viwili
1. Emergency key ile ya kubonyeza ukiwa mbali na gari ili ku lock na ku unlock kunamda inafanya kazi wakati mwengine inagoma hali ya kua imeshawekwa betri jipya la rimoti yake.
2. O/D OFF inamwekua muda wote hata kama uki bonueza ki batan cha kuizima pale...
Baada na kuhitimu na kuitumikia ipasavyo Bachelor of Education Special Needs. Nahitaji kua mbobezi Zaid katika maswala ya ukalimani na lugha ya alama, naomba kufahamishwa ni chuo gani hapa nchini kinatoa kozi tajwa kwa level ya Masters
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.