Recent content by homomorphism

  1. H

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa zaidi kuhusu Toyota Passo

    Kapo fresh tu adi sasa kwakweli binafsi sijutii kukanunua.
  2. H

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa zaidi kuhusu Toyota Passo

    Nimepata Passo niponayo na natamba nayo 1290cc
  3. H

    JamiiForums Tanzania TANGAZO:Fundi umeme wa magari napatikana Dodoma

    Kuna passo apa inavipengele viwili 1. Emergency key ile ya kubonyeza ukiwa mbali na gari ili ku lock na ku unlock kunamda inafanya kazi wakati mwengine inagoma hali ya kua imeshawekwa betri jipya la rimoti yake. 2. O/D OFF inamwekua muda wote hata kama uki bonueza ki batan cha kuizima pale...
  4. H

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya solutions za matatizo ya automatic gearboxes

    Ulitatua vip hii changamoto?
  5. H

    JamiiForums Tanzania Inahitajika Toyota Passo piston 4, 1290cc, engine K3-VE

    Unanitisha boss
  6. H

    JamiiForums Tanzania Inahitajika Toyota Passo piston 4, 1290cc, engine K3-VE

    Budget iliopo ni 4Milioni. Madalali naomba kuwaepuka katika hili.
  7. H

    JamiiForums Tanzania Kama bado unajitafuta toyota passo ndo usafiri sahihi

    Passo zipo vizuri aisee hasa ile ya cc1290
  8. H

    JamiiForums Tanzania Chuo gani kwa hapa kwetu Tanzania naweza soma Master's degree in sign language interpretation

    Baada na kuhitimu na kuitumikia ipasavyo Bachelor of Education Special Needs. Nahitaji kua mbobezi Zaid katika maswala ya ukalimani na lugha ya alama, naomba kufahamishwa ni chuo gani hapa nchini kinatoa kozi tajwa kwa level ya Masters
  9. H

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata mashuka ya mtumba ya kulenga

    Shuklan sana kiongozi.
  10. H

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata mashuka ya mtumba ya kulenga

    Apo Tandika sokoni Mashuka ni muda wote au natakiwa kudamka allfajili. Pia vip kuhusu bei zao maana lengo ni kununua na kwenda kuuza.
  11. H

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata mashuka ya mtumba ya kulenga

    Bei zao vipi bro.
  12. H

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata mashuka ya mtumba ya kulenga

    Nina mtaji wa laki na nusu, naomba kujuzwa wapi wanauza mashuka ya mtumba kwa bei rahisi ninunue kwa lengo la kuja kuuza mtaani kwetu.
  13. H

    JamiiForums Tanzania Natafuta Toyota Passo

    Hivi siwez pata PASSO namba D kweli
  14. H

    JamiiForums Tanzania Natafuta Toyota Passo

    Aisee ela nayo aikai ila poa.
  15. H

    JamiiForums Tanzania Natafuta Toyota Passo

    Pamoja na hayo ila Passo haifik mil7 kwa mtu, iyo ni bei ya passo 2 kaka. Shida madalali wanataka watatu matatizo yao yote kwa ela ya mteja mmoja.
Back
Top Bottom