Mkuu unafurahisha kweli, hii siyo Forex... Angalia Kantanka ya Ghana ndiyo uje ucomment... Kulingana na makubaliano yetu sisi tutakuwa more than that. Jioni njema msalimie mkeo
Tunahitaji partners wa aina mbili, 1. Awe na Eneo la Ekari mia moja Mkoa wowote kati ya Dodoma au Singida, au Pwani pia. Eneo kwa ajili ya Kujengea Kiwanda 2. Mtaji pesa hiyo siwezi kuweka hapa
Wakuu habari ya Majukumu
Tuna tafuta business partner, kwa ajili ya kuwekeza kwenye kiwanda cha Kuassemble magari, kwa kutumia brand yetu.
Namaanisha kiwanda cha magari hapa Nchini, kwa kutumia brand yetu siyo hizo za kuexport.
Nahitaji mtu au Kampuni ili tuingie Ubia
Nahitaji wahandisi wa makenika wenye Uzoefu wa muda na kazi; number; 0759 534596... Tuna mpango wa Kufungua kiwanda so awe Mzoefu wa kutengeneza magari kwa muda mrefu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.