Kiwango kikubwa cha kuwaza ujinga pale unapojifanya kuwafaham wanawake ambao watu kama kina Elon musk wameona mwanamke kashindikana wameamua kuunda wa kidigital
Simply Yanga hata wakiongeza 16 bado hayupo imagine hizi timu hazipo super league
Kaizer
Orlando
Raja
Zamalek
Pyramids
El hilal
Berkane
CR Belouzdad
Enyimba
As Vita
Ahly Tripol
Cs sfaxien
Kabylie
Zingine wataongeza
sjui karia katuonaje kutuambia caf itasikiliza maombi ya mwana falsafa
Account yangu ya 1xbet ina 8M nataka kuwithdraw bila kumtumia wakala,,, nataka iingie direct kwangu bila middle man
30k kwa atakae Fanikisha mimi kutoa hela bila wakala
Hata ukipanga team ya taifa washambuliaji watatoka ligi za nje,,, mfano samata, Msuva, kelvin John na Joshua, kongo wenyee wakipanga kikosi Chao mayele humuoni achilia mbali kuitwa,,, Ko punguza makasiriko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.