Recent content by homeless1

  1. homeless1

    Unataka Kupewa Penzi Tamu na Totoz? Tumia Password hii Utanishukuru

    Kiwango kikubwa cha kuwaza ujinga pale unapojifanya kuwafaham wanawake ambao watu kama kina Elon musk wameona mwanamke kashindikana wameamua kuunda wa kidigital
  2. homeless1

    Sababu za Simba kushinda Jumamosi ni hizi hapa. Yanga acheni Polimi Lai!!

    Hawajacheza acha uongo weka kikosi cha morroco World Cup ambacho kina wachezaji tisa wa wydad
  3. homeless1

    Lavalava katoka Wasafi? Account yake inatumika kutangaza matangazo

    Nakupa za ndani huyo kijana ni D Voice
  4. homeless1

    Ndoa ndoano

    Sijapenda kuona story ambayo haina mwisho wa kisasi hua haina radha
  5. homeless1

    Yanga msianze maandalizi, hamna sifa za kuwepo Super League

    Simply Yanga hata wakiongeza 16 bado hayupo imagine hizi timu hazipo super league Kaizer Orlando Raja Zamalek Pyramids El hilal Berkane CR Belouzdad Enyimba As Vita Ahly Tripol Cs sfaxien Kabylie Zingine wataongeza sjui karia katuonaje kutuambia caf itasikiliza maombi ya mwana falsafa
  6. homeless1

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ndo mana nmeogopa kuna siku nlitoa 30k nlijuta kuwafaham
  7. homeless1

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kaka waiache tu ntakua naiangalia au ntakua wakala mwenyewe
  8. homeless1

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Account yangu ya 1xbet ina 8M nataka kuwithdraw bila kumtumia wakala,,, nataka iingie direct kwangu bila middle man 30k kwa atakae Fanikisha mimi kutoa hela bila wakala
  9. homeless1

    Pamoja na Ushindi wa Yanga na Simba bado kuna shida sehemu, Magoli yamefungwa na wageni

    Hata ukipanga team ya taifa washambuliaji watatoka ligi za nje,,, mfano samata, Msuva, kelvin John na Joshua, kongo wenyee wakipanga kikosi Chao mayele humuoni achilia mbali kuitwa,,, Ko punguza makasiriko
  10. homeless1

    Mfahamu Kelvin Bokai Doe, aliyeishangaza dunia

    Nukta Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom