Recent content by Homelesapilgrim

  1. Homelesapilgrim

    JamiiForums Tanzania Kitabu gani cha hadithi uliwahi kusoma.

    The Secret Garden, Nancy Drew, Hardy Boys, Willard Price, Moses Kibaya na King Kong(barbra kimenye),
  2. Homelesapilgrim

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yamini ulioila huishia wapi?

    Hapana asiachwe? Si ndoa ni jambo la hiari? Huko si ni kumlazimisha akae na ww? Huko si kutapelekea kujengeana chuki?
  3. Homelesapilgrim

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yamini ulioila huishia wapi?

    Habari wakuu. Naomba maoni yenu kwenye swala hili la ndoa. Ukitilia maanani kuwa ndoa ifungwapo, yamini huliwa na mwanamke na aidha mwanamume kuwa watapendana na kuvumiliana katika kila hali. Je, mwenza wako akianza kubadili tabia kwa kuonyesha dharau, majivuno na dalili zote za...
  4. Homelesapilgrim

    JamiiForums Tanzania Salam na Msaada

    Santeh sana
  5. Homelesapilgrim

    JamiiForums Tanzania Salam na Msaada

    Habari wana JF. Nimejiunga rasmi humu sababu nina swali linalohusu ndoa ila cjui forum ipi sahihi kuulizia?
Back
Top Bottom