Homelesapilgrim
Member
- Nov 7, 2016
- 5
- 2
Habari wakuu.
Naomba maoni yenu kwenye swala hili la ndoa.
Ukitilia maanani kuwa ndoa ifungwapo, yamini huliwa na mwanamke na aidha mwanamume kuwa watapendana na kuvumiliana katika kila hali.
Je, mwenza wako akianza kubadili tabia kwa kuonyesha dharau, majivuno na dalili zote za kuchepuka; kulingana na uaminifu wako kwa yamini uliyoila mbele ya muumba wako, ni hatua sahihi kumuacha?
Naomba maoni yenu kwenye swala hili la ndoa.
Ukitilia maanani kuwa ndoa ifungwapo, yamini huliwa na mwanamke na aidha mwanamume kuwa watapendana na kuvumiliana katika kila hali.
Je, mwenza wako akianza kubadili tabia kwa kuonyesha dharau, majivuno na dalili zote za kuchepuka; kulingana na uaminifu wako kwa yamini uliyoila mbele ya muumba wako, ni hatua sahihi kumuacha?