Recent content by homeboy12

  1. H

    Hivi iPhone ni simu bora kama tunavoambiwa?

    Karibu tuwasikilize wazoefu
  2. H

    Hivi iPhone ni simu bora kama tunavoambiwa?

    Kiufupi nataka kununua simu sasahivi lakini niko njia panda. Ninunue iPhone au zingine hizi maana iPhone watu wanasema ni nzuri lakini mimi sijui. Naombeni uzoefu wenu jamani.
  3. H

    Nahitaji mwanamke

    Asinizidi umri tu
  4. H

    Nahitaji mwanamke

    Niko serious jamani nahitaji mwanamke ambaye atakuwa tayari kuwa na mm wakati wote wa maisha yangu kuhusu age mimi niko na 26 pia nimeajiriwa naahidi nitampenda sana Nitamuheshimu sana Nitamtunza pia
  5. H

    Mtu ukiwa unalipwa 700k kwa mwezi, ni sawa kulipa kodi 100k?

    Jamani naombeni msaada mtu ukiwa unalipwa 700k kwa mwezi ni sawa kulipa kodi 100k kwa mwezi na hujaoa umepanga chumba na sebule ?
  6. H

    Napata wapi ramani ya kujenga nyumba?

    Nyumba ya vyumba vitatu
Back
Top Bottom