Kiufupi nataka kununua simu sasahivi lakini niko njia panda. Ninunue iPhone au zingine hizi maana iPhone watu wanasema ni nzuri lakini mimi sijui.
Naombeni uzoefu wenu jamani.
Niko serious jamani nahitaji mwanamke ambaye atakuwa tayari kuwa na mm wakati wote wa maisha yangu kuhusu age mimi niko na 26 pia nimeajiriwa
naahidi nitampenda sana
Nitamuheshimu sana
Nitamtunza pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.