Recent content by hokani

  1. hokani

    A Kusini kuamua kura ya Wazi ya kutokuwa na Imani na Rais Zuma kesho:

    Wabunge nchini Afrika Kusini watapiga kura ya siri wakati wa kuamua kuhusu hoja ya kutokuwa na imani na Rais Jacob Zuma kesho Jumanne, spika wa bunge la nchi hiyo ametangaza. Baleka Mbete ametoa uamuzi huo baada ya vyama vya upinzani kuwasilisha kesi mahakamani wakitaka kura hiyo iwe ya siri...
  2. hokani

    CUF ikifa CCM itapata faida gani?

    Cuf na Wazanzibari walio wengi hawapingi muungan, wanachotaka ni muungano wa haki, sio wa mwenye maguvu kumuonea dhaifu.
  3. hokani

    CUF ikifa CCM itapata faida gani?

    Analysis yako haiko katika reality. Tatizo kuu CCM Zanzibar imekataliwa from day one, haijawahi kushinda uchaguzi tokea 1995, kinachotokea ni Tanganyika kutumia mabavu, si suala la whether Amani kaleta muafaka au Fatma kasema nini. Hao kina Shein na wengine wote ni mateka , hawani hiyari, huo...
  4. hokani

    Kuzuia Wizi wa Kura na Kuporwa Computer UKAWA jifunzeni hili Kutoka ODM

    Hayo yote anayoeleza ndio utaratibu na yaliyofanyika Zanzibar 2015. Pamoja na yote hayo Znz pia wanatoa certificate ku confirm matokeo na ndio sababu Ccm walishindwa kuiba. Yaliyotokea Znz tunayajua. Simaanishi kuwa Ukawa wasijifunze . La. Maana yangu sina uhakika kama yaweza kuwa ni komesha.
Back
Top Bottom