Recent content by Hoffenheim

  1. Hoffenheim

    Kufananisha Utaratibu wa Majeshi ya nchi zingine na wa Tanzania ni Upumbavu usiovumilika

    Baadhi ya wafrika hawajui sheria ndiyo maana wakiona polisi na wanajeshi wanatetemeka. Mimi naweza kuvaa sare za jeshi (siyo mwanajeshi) au za polisi (siyo polisi) nikaja kwako nikakuambia unahitajika kwenye kituo cha polisi. Bila kuhoji kitu chochote ukanifuata kumbe ni jambazi sugu. Hata kama...
  2. Hoffenheim

    Tanzania yapata Sh trilioni 1 kufadhili programu za kilimo

    Waarabu wakikusaidia sana watakujengea msikiti, kisima cha kujitawazia, watakuletea Quran, tende, maji ya zamzam na nyama ya ngamia.
  3. Hoffenheim

    Kufananisha Utaratibu wa Majeshi ya nchi zingine na wa Tanzania ni Upumbavu usiovumilika

    Jeshi la wananchi linaingia mtaani kusaka nguo zinazofanana na sare zao tena kwa raia ambaye hana hata bunduki?😂😂😂😂😁😁😁 Hiyo inaitwa kukosa kazi na kutaka umaarufu. Waende Sudan wakajipime nguvu. Hiyo kazi ni ya polisi. Watu wa nchi zilizoendelea wanatushangaa sana. Jeshi wametua akili ya...
  4. Hoffenheim

    Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya

    Kila mtu huwa ana kichaa cha mapenzi anapoingia kwenye mahusiano mapya (penzi jipya) Watu wanaweza kukushauri kwa nia njema lkn ukawaona km wanakuharibia. Baada ya kichaa kuisha, mpo kwenye uhalisia ndiyo unaanza kuwakumbuka watu wote waliokushauri. Ni vizuri ila kumbuka 1. Uhusiano na mzazi...
  5. Hoffenheim

    Umewezaje kudate na mwanamke Nurse?

    Utakuwa unaanza mapenzi.
  6. Hoffenheim

    Jeshi la wananchi laonywa lisivunje katiba ya nchi kwa kufanya majukumu yasiyo yake kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi

    Siku hiyo nilicheka na kusikitika sana. Mwanajeshi anavunja tofauli kwa kichwa. Kwa zama hizi za teknolojia, watu wanavumbua silaha zitakazowezesha kujilinda na kushambulia kwa muda mfupi sana.
  7. Hoffenheim

    Jeshi la wananchi laonywa lisivunje katiba ya nchi kwa kufanya majukumu yasiyo yake kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi

    Jeshi la wananchi lina majukumu makubwa sana ya kulinda amani yaani litaaingia mtaani km kutakuwa na viashiria vya kuleta vita. Polisi kazi yake kuhakikisha sheria inafuatwa ndiyo maana ina mahakama na magereza. Jeshi linaingia mtaani kusaka sare za jeshi kwa raia ambaye hana bunduki? Hiyo ni...
  8. Hoffenheim

    Kwani huyu mama waziri wa kilimo UAE ni mzungu au?

    Umekosea Waarabu (weupe) ndugu yao ni waarabu weusi (wafrika). Hata saa100 alienda ujombani Oman. Hata bandari wameuziwa wajomba.
  9. Hoffenheim

    Jeshi la wananchi laonywa lisivunje katiba ya nchi kwa kufanya majukumu yasiyo yake kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi

    Watu wengi hawajui sheria ndiyo maana ukivaa nguo za polisi na siyo polisi unaweza kumfanyia chochote mtu na asikuulize. Mfano. Ukivaa sare za trafiki, ukasimama barabarani, unaweza kukusanya hela sana. Gari ikipita, piga mkono, kila gari lazima itoe 10,000.
  10. Hoffenheim

    Jeshi la wananchi laonywa lisivunje katiba ya nchi kwa kufanya majukumu yasiyo yake kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi

    Unaona umeandika hoja za maana kumbe ni matapishi matupu. Kwa akili yako ndogo, jeshi linaingia mtaani kusaka sare za jeshi (nguo zinazofanana na sare zao) kwa raia ambaye hana hata bunduki? Unajua maana ya jeshi na heshima yake lakini? 😀😀😀😀😀😀😂😂 Kama hawana kazi, waende Sudan pale kuna vita...
  11. Hoffenheim

    Kijana aliyebuni mtambo wa kuzalisha petrol akatishwa tamaa na Serikali. Serikali inaua ndoto za vijana wabunifu

    Kuna bidhaa za kichina ukiziona unaweza kutoa machozi kwa uchungu. Hazina ubora kbsa lkn zimejaa hapa Tanzania, zinauzwa. Kuna memory card, usb drive feki ambazo ukiweka nyimbo 10, zingine haziplay lkn zipo madukani. Wanakuuliza unataka original au feki lkn huwezi kuona TBS wanashughulika na...
  12. Hoffenheim

    Jeshi la wananchi laonywa lisivunje katiba ya nchi kwa kufanya majukumu yasiyo yake kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi

    Afrika wajinga wengi sana. Huyo atakuumiza akili. Kusaka sare za jeshi, ni kazi ya polisi na siyo jeshi. Ukiwa na bunduki kwanini wanakufuata polisi na siyo jeshi la wananchi? Jwtz imekosa kazi.
Back
Top Bottom