Barabara iliyochongwa toka Mwapemba kwenda Kisarawe II. Mpira unaosambaza maji uko mita 150, umeme uko mita 200. Eneo ni karibu na shule ya Anna Makinda, kilometa 1 toka Mikwambe stendi.
Viwanja mita 20 kwa 20 vinauzwa Kisarawe II Kigamboni vimepakana na barabara mpya iliyochongwa toka Kisarawe II kwenda Mwapemba, bei tsh 2,000,000/- tu, simu 0754295159. Unaweza kulipa nusu, ukamalizia kiasi kilichobaki ndani ya mwezi mmoja.
Mtu anayewapinga anaweza kutumia sababu kama yako hiyo japo ukweli ni kwamba unaweza ukakuta ni wanne miongoni mwa watu mia ndo wanafanya hivyo, hatutegemei kuwa wawe wasafi kama malaika, wao ni binadamu tena wametokea kwenye jamii hizi hizi tunazozijua. Lazima watakuwepo waliotaka kuwa...
Wanaopinga swala la mapdre kuacha kuoa nawashangaa sana je wamewahi kusoma haya maandiko yanayoelezea msimamo wa Yesu na Paulo katika vitabu hivi;
Maneno ya Paulo Mtume:
1Wakorintho 7:1.8
"Basi kwa habari ya mambo yale mliyoandika,ni heri mwanaume asimguse mwanamke,8.Lakini nawaambia wale...
Wanaopinga swala la mapdre kuacha kuoa nawashangaa sana je wamewahi kusoma haya maandiko yanayoelezea msimamo wa Yesu na Paulo katika vitabu hivi;
Maneno ya Paulo Mtume:
1Wakorintho 7:1.8
"Basi kwa habari ya mambo yale mliyoandika,ni heri mwanaume asimguse mwanamke,8.Lakini nawaambia wale...
Wananchi walikuwa na matumaini ya kuingia mkataba wa kulipwa hela kila baada ya miezi mitatu kwa ajili ya kukodishia ardhi yao kwa kampuni ya JACANA/Strandline Resources inayotaka kufanya mradi wao pale.
MWEKEZAJI HUYU ANACHELEWESHWA NA VIONGOZI WA WILAYA YA KIGAMBONI. Hawa viongozi wanataka...
Kampuni hii ya JACANA/Strandline Resources, imeshakopa hela benki ya kuwalipa wenye maeneo pale Mwasonga pamoja na kuendeshea mradi huo.
Walishakubaliana na wananchi kwamba wanakodi yale maeneo kwa miaka minane, baada ya mradi wao kwisha, watarudisha hayo maeneo kwa wenyewe.
Katika kipindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.