Kwa anayeomba mgawanyo wa ndege Tanganyika na Zanzibar elewa uchumi wa nchi huchangiwa na idadi ya watu,
Idadi ya Watanganyika 59,800,000 na Zanzibar ni 1,890,000.
Kwa Hizi ndege 11 Zanzibar itapata 3.21% ya ndege zote.
Tungekua na ndege 100 Zanzibar ingepata 3.
Kwa idadi hii haziganyiki hivyo...
Waislamu 8 na Wakristu 3 hongereni Sana maana ni kipindi.
Lakini twaomba nafasi za uongozi Zanzibar zukaliwe pia na Watanganyika.
Sent from my STK-L22 using JamiiForums mobile app
Huu muungano umetusababishia kupata viongozi wasio na uelewa wwt, wazembe, hawana uchungu na nchi, wapenda starehe, safari wasizojua kwa nini wanasafiri.
Niieshie hapo kwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.