Wanawake wengi siku hizi wametuingiza kwenye changamoto kubwa sana wanaume wa siku hizi.Tumekuwa tukihangaishwa sana maneno yao ambayo yanatopelekea kujiona wanyonge mbele yako Bro ukikutana na mwanamke anakuambia haumridhishi kitandani,bro wala usiwe mnyonge we endelea na mitikasi yako,jukumu...
Jumapili njema kwa kila mmoja wetu.
Ndugu zangu Nina jambo naomba kuuliza ukitazama mechi za ulaya kuna wale watoto ambao wakati timu zinaingia uwanjani wanakuwa wameongoza wa wachezaji hadi ndani ya pitch.nataka kujua wale watoto wanafanya kazi gani?
Natanguliza shukrani za dhati kwenu
Hakuna mafundisho ya Islam yanayosema mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kuridhi mali za baba yake.na ndio maana nikakuambia utoa aya ama hadithi inayothibitisha jambo hilo.kwenye.Kwa hiyo unachokisema ww sio mafundisho ya Islam,mafundisho ya Islam yanatokana na kitqbu cha Qurani pamoja na...
Hiki alichokiandika hakina ukweli wowote ule isipokuwa tuna tabia ya kusema kitu ambacho hatuna uhakika nacho,Katika Dini ya Islam inamtambua mtoto mtoto alizaliwa nje ya mfumo wa taasisi ya ndoa na ana sawa Kama watoto waliozaliwa ktk mfumo wa ndoa
mkuu hata wewe hujafanya research kabisa kwa mujibu wa Dini ya kiislam mtoto wa nje ana haki ya kuridhi mali za baba kama watoto wengine. Mtoto wa nje ana haki sawa na watoto ndoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.