Recent content by hmhl

  1. H

    Natafuta soko la unga wa ubuyu na mafuta ya alizeti

    Habari zenu wana JF! Natafuta soko la unga wa ubuyu na mafuta ya alizeti, yeyote anayeweza kunisaidia kupata soko, tuwasiliane kwa 0757140014 whatsapp or sms or call. Asanteni
  2. H

    Prof. Tibaijuka: Chato haina sifa kuwa Mkoa

    Weka sawa hapo kwenye asilimia 15, ikiwa mkoa inabidi uwe na wakazi asilimia 15 ya wakazi wa nchi, maana yake nchi nzima itabidi iwe na mikoa 6 tu ! Hichi kigezo hakipo sawa
  3. H

    Profesa Muhongo: Uchumi wa sasa duniani ni umeme wa gesi, umeme wa maji umepitwa na wakati

    Profesa afanye utafiti zaidi kuhakiki ufahamu wake, umeme wa maji ni moja ya njia zinazopigiwa debe sasa duniani ikiwa ni katika sera za kutunza mazingira na kutupunguza emission of cabonidioxide gas kutokana kutumia fossils fuels ikiwemo natural gas.. Umeme wa gas inachangia kwa kiasi kikubwa...
  4. H

    INAUZWA Trekta MF 18, 2WD, HP 75 linauzwa

    Nataka kufanya fursa zingine tofauti Sent using Jamii Forums mobile app
  5. H

    Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

    Serikalini kuna colleges and institutes ambazo zipo chini ya NACTE, Hizi vilikuwa vinachukua 3.5, mf DIT, ATC, DMI, etc.. Na kuna universities zilizo chini ya TCU, hzi ndo zilikuwa zinachukua kuanzia 3.8, ambao kwa sasa TCU nao pia wamepunguza mpaka 3.5 Sent using Jamii Forums mobile app
  6. H

    Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

    Hio 3.5 kwa zamani ilikuwa ni kwa colleges ambazo zipo chini ya NACTE. Kwa vyuo vilivyokuwa chini ya TCU ilikuwa ni 3.8 Na ambayo TCU nao sasa hivi wameishusha mpaka 3.5 Sent using Jamii Forums mobile app
  7. H

    INAUZWA Trekta MF 18, 2WD, HP 75 linauzwa

    Nauza trekta, Massey Ferguson MF 185, 2WD, HP 75. Bei ni 18M (Mazungumzo yapo) Na jembe pia lipo. disc 3 bei ni 2.5M. 0719070130 Whatsapp & Normal Call Sent using Jamii Forums mobile app
  8. H

    Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

    ruhi, Kwa sababu umesema wewe sio daktari basi hamna tabu. Kuambukiza kwa njia ya hewa maana ni kwamba hicho kirusi hakihitaji mtu kutema mate wala kukohoa , inatosha tu kupumua kwa mtu ila pumzi yake ikimfika mwengine aambukizwe.. Sasa kirusi cha hakipo hivyo..ndo maana wanasema corona...
  9. H

    Nauza compressor ya upepo wa matairi

    Nauza compressor yenye motor 3HP, bei ni 1,500,000/=. Compressor ipo Dar es Salaam. Maelezo zaidi PM.
  10. H

    Nauza trekta aina ya Massey Ferguson MF 185, Hp 68.

    Njoo PM ndugu yangu, sitaki kuweka namba yangu humu, huwa sitoi namba yangu kwa kila mtu. Anayehitaji hilo trekta serious, aje PM ntampa namna yangu. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. H

    Nauza trekta aina ya Massey Ferguson MF 185, Hp 68.

    Kwa sababu ni kubwa, ni hp 68. Then kwa yeyote anayeyajua matrekta, ukimtajia MF 185 anajua unazungumzia nini.. Hakuna Massey Ferguson ya uhakika kuwahi kutengenezwa kama hio MF 185. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. H

    Nauza trekta aina ya Massey Ferguson MF 185, Hp 68.

    Lipo Dar es Salaam Sent using Jamii Forums mobile app
  13. H

    Nauza trekta aina ya Massey Ferguson MF 185, Hp 68.

    Lipo Dar es Salaam Sent using Jamii Forums mobile app
  14. H

    Nauza trekta aina ya Massey Ferguson MF 185, Hp 68.

    Trekta lipo sokoni, lipo katika hali nzuri, limetumika miezi 2 tu nchini, ni hp 68. Bei ni milion 29 tu! Mazungumzo yapo. Nifuate PM kwa ajili ya mawasiliano zaidi. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. H

    Nyumba inauzwa kigamboni

    Eneo halipo square ila vipimo vyake ni kama vifuatavyo: kisini mita 10.9 magharibi mita 21.5 kaskazini 11.6 mashariki mita 17.
Back
Top Bottom