Recent content by hmak

  1. H

    Waziri Ndalichako: Imebainika wanafunzi 2,619 walisajiliwa vyuo viwili tofauti huku wakilipwa mikopo

    Hii nchi bhana, mbona matukio ya ajabu kila siku?, alafu mwisho wake yanaishia kwenye matamko tu, hawa watu wanaoitwa mafisadi, wapiga dili wangekuwa wanafuatiliwa kweli na kufikishwa Mahakamani naamini mpaka leo hali ingekuwa tofauti na watu wangeacha
  2. H

    Zitto na Kikwete, Gwajima na Magufuli!

    Teh, hiyo ndo akili ya vijana wengi wa Ukawa, walitabiri Zitto atafeli kisiasa, leo hii wameona bado yupo hot, hivi kwa mfano mlitaka Zitto atoke na Ukawa siku ile nje ili iwaje?, aliingia bungeni akiwa peke yake, hakuwa katika umoja ule, walimkataa na hawakumtaka, sasa angetoka nje ili...
  3. H

    Mahakama ya mafisadi haina tija, ni mzigo mwingine kwa wananchi

    Hivi Mahakama zetu zilishindwa kutatua matatizo ya Ardhi hadi ianzishwe Mahakama ya Ardhi, vipi kuhusu milathi?, au wakati wa uanzishwaji wake haukuwepo hivyo ulishindwa kuhoji wakakusikia?, TAKUKURU ilianzishwa kwa ajili ya nini?, kuna vitu tuwe tunawaza kwanza jamani Inahitajika Mahakama...
  4. H

    Pay stubs za mshahara wa Rais

    Hilo ni tatizo, hatuna development ya habari, matukio mengi yanafunikwa tena ya msingi sana kwa sababu tumekuwa kama homa za vipindi, likiibuka hili watu wanasahau yote Lakini tungekuwa ni watu makini naamini tungekuwa tunamaliza matatizo mengi sana hata kama matukio yapo mengi kiasi gani
  5. H

    Zitto na Kikwete, Gwajima na Magufuli!

    Zitto kahudumia kama Mbunge katika Utawala wa Kikwete, Mbunge gani ambaye alikuwa hot na aliplay party kubwa kuidhibu Serikali unamlinganisha na Zitto?, hivi Zitto alikuwa na urafiki sana kuliko Mbatia na Kikwete?. Suala la siasa za Kiunaharakati, labda hujui kwamba ukiitaja chadema na siasa...
  6. H

    Pay stubs za mshahara wa Rais

    Tuilaumu media pia kwa kutomkumbusha Rais au wabunge ili waweze kuhoji, kama yeye amesahau basi ilitakiwa akumbushwe alafu tuone kama hatotoa
  7. H

    Rais wangu Magufuli, huu ni wakati wa ku-act Udikteta wanaokusingizia. Anza na Jenerali Ulimwengu

    Sijaelewa, yaani alichoongea juzi Ulimwengu kina chembechembe zozote za kuropoka au umerefer siku nyingine?
  8. H

    Rais wangu Magufuli, huu ni wakati wa ku-act Udikteta wanaokusingizia. Anza na Jenerali Ulimwengu

    Kiongozi pekee ambaye huwa hataki kupingwa wala kukosolewa mpaka akabadili katiba ili kuzuia hayo ni Fremon Aikael Mbowe, mwenyekiti wa kudumu wa chadema
  9. H

    Kufungwa kwa flow meter, game changer!

    Sijaelewa hapa, kwamba ulitaka wabunge wa upinzani ndo waseme kuhusu flow meter na si suala la Dodoma au?, tokea hilo suala limetokea na akatajwa Waziri kuhusika nini kimetokea baada ya hapo?, nani alihusika na kachukuliwa hatua gani?, umewezaje kumuingiza Zitto alafu ukawaacha mawaziri wenye...
  10. H

    Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), Bi. Juliet Kairuki atenguliwa

    Inasemekana huyu Mama ni Mke wa Mkurugenzi wa Hospitali ya Kairuki,kabla hajaja alikuwa anafanya kazi Afrika Kusini, alikuwa akilipwa pesa inayokadiliwa kuwa millioni 35 za Kitanzania, akaja huku wakataka wampe 5M kwa mwezi, akakataa, JK akawaomba TIC wafanye review ya mshahara alafu wakubaliane...
  11. H

    Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), Bi. Juliet Kairuki atenguliwa

    Hii sijaielwa kabisa, ila kuna wakati kutofuata utaratibu pia ni kosa, teh, kuna haja ya kuendelea kupokea taarifa zaidi kuhusu hili, siyo bure....
Back
Top Bottom