hiyo ni ndui. uliwapa chanjo ya ndui.. kuku wenye nfui huwa wanashambuliwa na magonjwa mengimengi tu. kwa kuwa hawana kinga mwilini. wape antibacteria halafu chanjo. ila ni vzr upeleke kuku mgonjwa wakamuangalie kwa kumchinja uweze kujua ni magonjwa gani haswa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.