Pole bro, lakin njia pekee ya kumbadilisha mwenzio ni kubadilika kama huwezi kupunguza mazoea na wanawake Kazini basi tegemea mabua, lakini pia sometimes mascilineer power inapunguza lead ya mwanaume kwenye familia control that🙂
Kama unachokifanya unakipenda basi hakuna pesa itakayoweza kuununua upendo kwasababu unachokifanya ni huduma hakuna atakae nunua huduma(utu). Hakuna pesa itakayo nunua kazi ninayoifanya.
Nimezaliwa mwaka 2013 katika wilaya ya Muleba na kulelewa na bibi yangu kipenzi, Bi.Khadija. Bi.Khadija alipenda sana kusoma na muda mwingi aliutumia kusoma vitabu vilivyoelezea utawala bora na namna babu zetu walivyo pigania uhuru lakini pia alipenda kusoma magazeti.
Siku moja nikiwa nje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.