CCM kinajiua chenyewe wala upinzani usihusishwe. Wanaokimaliza ni waroho wao wa madaraka wanaojiandalia makambi kila kuchao na baadhi ni hawa:
Lowasa
Wassira
Membe
Sita
Makamba
Ngeleja
Mwigulu
Komba
Mwakyembe
Sumaye
Nahodha
Magufuli
Migiro
Nchimbi
Muhongo
...
...
Join Date : 25th October 2013
Posts : 3
Rep Power : 0
Likes Received1
Likes Given
0
Huyu hapa msukule mwingine ambaye ameajiriwa juzi. Mzee Tupatupa hukukosea uliposema:-
" "CHADEMA niwaambie, kuna watu hapa Lumumba na Ofisi nyingine wamenunuliwa 'Ipads' na 'Iphones' kupambana...
Umesema vizuri sana GAMBA. Haya wanayoyafanya CCM inawafanya waTZ wengi kukichukia chama hiki cha mafisadi. Maccm yanadhani wamepatia pa kutokea, kumbe wamepatikana
Mi wanyalu siwaamini kabisa. Ni manazi ya ccm - ona uchaguzi wa madiwani majuzi (16/6) wilayani kilolo kata ya ng'ang'awe wamewapa maccm kura 686 na cdm ikaambulia kura 217.
Fanya utafiti kabla kuja humu jf
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.