Recent content by HIPSON

  1. H

    To VC and DVC of Sokoine University

    Hivi mimi tu ndio nafahamu hii au fixtion????? Msola alifelishwa chemistry katika ue na akadisco undergraduate na kwenda nairobi alikomalizia degree ya kwanza sasa bangu akawa rafiki yake tena?????? Hebu anayejua vizuri atupe details. Urafiki huu wa mtoto wa bangu umetoka wapi???? Huenda mtoto...
  2. H

    Mbowe atuhumiwa kuhamisha mabilioni

    Wapiga dili tu hao, Mbowe ni Mbabe na Chama hiki kinafilisiwa na huyu jamaa!!!! Cdm mpaka mkome kumjua Mchaga
  3. H

    System aliyoitegemea Lowassa ilivurugwa na Kikwete!

    Mzee wa Chandimu
  4. H

    Hii dhana ya kuwa ukiwa masikini ndio unakuwa kiongozi mzuri aliiasisi nani?

    Wewe Lendila na wenzio hebu someni kwa makini alichoandika MWANA na muelewe sana. Taitizo siyo utajiri! tatizo ni amepataje huo utajiri? kama ni kwa halali huyu ni mwenzetu na kama ni kwa ufisadi huyu hatufai kwa kuwa akipata huo Uraisi au Ubunge anaoutafuta ataweza kutumia nafasi hiyo sasa...
  5. H

    Yaliyojiri UKAWA na Waandishi: Wajibu tuhuma za Dr. Slaa

    Mbatia nae anajifaaaanya ah anaboa tu! hana lolote
  6. H

    Makamba ashangazwa na vichwa vya habari vya haya magazeti kuhusu Lowassa

    Hao wahariri ni wasaka tonge tu, bahasha walipokea ili waandike hivyo
  7. H

    M/kiti wa CCM Shinyanga, Khamis Mgeja na John Guninita wajivua uanachama CCM na kujiunga CHADEMA

    Tutawapiga tu hata kama akina Mgeja, Guninita na wenzao watakuja sisi ni kipigo tu mpaka muwe na adabu!!!!!! Mkamuulize Mrema 1995 alipigwa pamoja na wanawake wote waliokuwa wakimsukuma na gari lake!!!!!
  8. H

    Lowasa kulihutubia taifa leo kupitia Azam tv

    Atajisafisha kwa sabuni gani????? Eti yeye hajahusika na Richmond!!! kwanini aliachia ngazi??? Hovyoooooo eti raisi labda wa FIFA
  9. H

    Picha: Tofauti kati ya Magufuli na Lowassa wakati wa Uchukuaji wa Fomu za Urais

    Mwisho wa yoooooote 25/10/2015, msilalamike Ooooh CCM wameiba usiku OOOOOh wameloga!!!!! Mwaka huu mtaipata nyie UPAWA aaah UKAWA! Mtakuwa ndio! ni fimbo tu
  10. H

    Tunataka CCM ituletee mgombea Urais asie na doa la Ufisadi

    Uliyeanzisha hii thread akili yako matope kabisa
  11. H

    Tunataka CCM ituletee mgombea Urais asie na doa la Ufisadi

    Hicho chama kisafi Tanzania kina wanachama wa Kutoka nchi gani???? Acha ndoto za Mchana. Unataka Raisi Msafi wakati wewe mwenyewe ni Mchafu????
  12. H

    Mgawanyo wa Majimbo Mapya ya Uchaguzi yanalenga kuinusuru CCM?

    Iringa haina majimbo mapya? Kalenga na Isimani ni majimbo makubwa sana, Mbunge anaweza kukaa miaka mitatu hajakanyaga baadhi ya maeneo
  13. H

    Waislamu watoa tamko, kusomwa kila Msikiti Ijumaa

    Mufti si kiongozi wenu????? angesoma wapi wakati hata anaowaongoza nao hawajasoma???? vipofu huongozana wenyewe? mkiambiwa haya nendeni shule nyie mwazilipua kwa mabomu aaaaaagh! ni sheeeda!
  14. H

    Waislamu watoa tamko, kusomwa kila Msikiti Ijumaa

    Mambo ya Kadhi peleka msikitini huko, mbona wenzenu wakristo mambo yao ya mabaraza yao ya CCT, PCT, TEK waliomba yawe kwenye katiba????? nyie vipi? Hamuwezi kusoma maandishi hata PICHA HAMUWEZI KUONA????? MNANICHOSHA SANA NYIE WATU
  15. H

    Sifa za Mbunge wa jimbo la Bahi tumtakae

    What you pointed out there is foolishness. Feeling economical pains doesn't mean he/ she is to relieve everything of what you feel like having. Poor guys always think their MP will do everything Fooooooolish mind set! come up and learn from other constituency are they developing because of...
Back
Top Bottom