Habari zenu wanajamvi,
Mimi nina kero au dukuduku kubwa kuhusu pesa za mradi wa HEET zinazotolewa na world bank. Pesa hizi zilikuja maalum kwa ajili ya kujenga majengo mapya na vifaa vya kisasa ndani ya vyuo vikuu pamoja na kusomesha staffs wake.
Lakini kumekuwa na ubadhirifu mkubwa sana juu...
Hiyo kampuni walifilisika
So wakawa wanawazungusha wateja wake kwa kutumia pesa za wateja wapya kuwalipa wa zamani
But so far, imekufa na hawana hayo mashamba waliyosema wanayo.. mm nilikomaa nao nikasema tawapeleka takukuru
Ilikuwa December 2021 nilichukua kama wiki moja hivi kupewa mazao
Na ni...
Mimi naifahamu na nilishawekezaga huko, yaani no changamoto sana kupata mazao au fedha. Mimi nilifunga safari hadi mbinga kufatilia mazao yangu, nilipata gunia zangu 10 za maharage lkn kwa kuteseka sana
yani nyie wote mnaotoa matusi mnatakiwa mtubu kwa mungu kwa dhambi mnazochuma, mnakaa na kuanza kujadili imani za watu? ingekua ni waislam msingethubutu ht kdgo kutoa matusi mtoayo,ila MUNGU atafanya kaz yake, sis wasabato c watu wa visasi na matusi
me nawashangaa nyote mnaokashfu na kudhihaki imani za watu, jarbuni kumwogopa mungu kwa kuheshimu imani za wengne, kwani hata m2kane vp bado imani zetu haztabadilika. zaidi mtakua mnajichumia dhambi tu kwa kumdhihak roho mtakatifu.
huo utakua ni udini na ni sheria ipi inamzuia mtu kuabudu. hata hao wa din nyngne wanaosoma chuo cha wasabato nan anawalazimisha kufanya mitihan jpili, wote hueshimiwa kulingana na imani zao.na MUNGU akusamehe kwa kauli za dharau na kejeli unazotoa
yani we unashangaza, uhuru wa dini upo nchni na ndo mana wenzetu wa jpl wanauhuru kuabudu watakavyo, na hata wasabato pia wana uhuru wa kuabudu kulingana na imani yao, kwa wasabato wote kufanya biashara siku ya sabato ni dhambi. usinitukane tafadhali
c umeona unarudi palepale kumbuka yesu alitoa msaada kwa kuponya siku ya sabato, vivyo hvyo hata leo, umeuguliwa na ndugu au jamaa waweza kumpeleka hospitali siku ya sabato kwani co kazi bali ni msaada. hlf kaka samahani me sio boya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.