Heshima kwenu wakuu,
Nina ndugu yangu anasumbuliwa na ugonjwa wa Arthritis. Mwenye kujua tiba mbadala ya ugonjwa huu naomba anijuze plz!
Natanguliza shukrani!
Heshima kwenu wakuu,naomba kufahamishwa kama CHUMVI YA MAWE inafaa kutumiwa na mtu mwenye shinikizo la damu badala ya ile ya kawaida tunayotumia majumbani.
Heshima kwenu wakuu,,
,natafuta Flem kwa ajili ya kuuza Nguo na urembo, kati ya maeneo haya,sinza,tabata,Ubungo, yeyote mwenye kujuwa,naomba anijuze tafadhali.iwe barabarani.
Natanguliza shukrani zangu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.