Utapokimbilia mahala kwenye msiba kitendo hicho ni ibada iwe kwako au kwao
Unataka kushiriki ibada ipi tena
Kesho mtakuja kusema kumsaidia mtu ambae sio imani yako utakuna umeririki ibada ya mtu mwingie ni kosa
Mnasahau ya kua kutenda jambo jema ni ibada
Si kweli usijidanganye
Hivi kwa mwenye kipato cha chini
Awekeze ela kwa miaka 10 huku akiwa anakaa nyumba ya kupanga nakodi analipa
Na kukaa kwenyenyumba yake kwa miaka 10 akiwa anayejenga deni taratibu BORA NN
Ni jambo jema sana kwa kuimkwamua
Mfanyakazi mwenye kipato kidogo kwamaana wapo wengi mbaka wanastaafu hawana nyumba na wanaishi nyumba za kupanga
Itasaidia kwa kua kodi ya pango italipa riba ya mkopo
((ILA RIBA ISIWE KUBWA))
Kwakua viongozi wakubwa
Wanaotungu sheria hii wao haiwahusu itafutwe tume isiyoguswa na sheria hii ikiwezekana waje kwenye secta binafsi au migodin watuhoji uwo upuuzi ili wapate majibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.