khaa unaongea nini ndugu, Azizik aliwahi kua mchezaji wa Asec aliecheza kwa mafanikio so pale ni kama amerudi nyumbani kwake, Manzok na Simba wana uhusiano gani?
Wakuu za jioni, nilikua nasafiri kutoka kigoma kuja Dodoma na bus la AN Classic.
Nilikua na kibeg cha mgongoni
Ndani kuna PC aina ya HP kulikua kwenye carrier.
Kushuka stand naangalia kwenye beg, PC siioni ila zip imefunguliwa, nimetafta kwenye bus lote sjaona kitu,
Msaada wakuu kwenye hali...
Inategemeana na hali yake ya kumyonyesha mtoto , kama mtoto ana nyonya effectively 8-12 kwa siku hua kuna possibility asipate mimba within 3 months, though sio guarantee tumia njia ya uzazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.