Dear Love
I know you cannot read this now (may be you can, I don't know),
Its been few days since you left us, in the most sudden , shocking and unpredictable way. I am still not able to comprehend and believe that you are actually gone. You were a very important part of my life, and though we...
Kama wewe ni mkristo na unaamini katika mambo ya kiroho then you can purchase this e-book from Amazon, kitakusaidia. Kinauzwa $5 tu
https://a.co/d/hgRxpfg
Wapendwa tupeane mchongo ndugu zangu.
Je ni soko gani kwa hapa Dar linaongoza kwa biashara ya maharage? Yaani kama naleta kutoka mkoani naweza kupeleka soko gani ambapo wanachukua bila usumbufu mwingi?
Pia ni aina gani ya maharage inayonunulika sana. Na kama una idea ya bei kwa mwezi April 2025...
Nakubaliana na mleta uzi, huyu jamaa nilikua namkubali sana kwa kusoma article zake, ila nilipimfuata inbox ndio nikajua mweupe tu, halafu wanaita madarasa kufundisha watu vitu ambavyo hawavijui na hawahajawi kufanya. Mimi naona ni mjanja mjanja tu anaetumia shida za watu kujitajirisha.
😆😆😆sio wote wenye nuksi mkuu kuna wengine wana bahati, ukitembea nao mambo yanakunyookea.
Pia si makahaba tu anaweza akawa girlfriend au mke na akawa na gundu au nyota njema
Na kila binadamu ana kinga ya asili, hizo transactions za kuexchange nuksi na bahati sio rahisi kivile, ndio maana unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.