Recent content by HIBISCUS 80

  1. H

    JamiiForums Tanzania Je Biblia inajipinga yenyewe katika maandiko yake mfano Zaburi 109 inapingana na Mathayo 18:21?

    Mfalme Daudi anazungumzia maadui zake anaomba Mungu awaadhibu Lakini Yesu amezungumzia ndugu zako wakikukosea Je ndugu zako ni adui zako? Nadhani tupate maana ya adui na ndugu zako Pia maadui wako wanaojionyesha na wako katika ulimwengu wa roho Mfano wale walioko katika ulimwengu wa roho wachawi...
  2. H

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya kutuma Maombi ya Ajira Jeshi la Polisi

    Utakuwa umekosea namba Mdogo wangu alikuwa anakosea namba inamletea no record found Mka alipogundua akarekebisa
  3. H

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya kutuma Maombi ya Ajira Jeshi la Polisi

    Tuma kwa njia ya posta EMS Zifike kwa uhakika na haraka
  4. H

    JamiiForums Tanzania Ajira Jeshi la polisi

    Watumie maombi kwa njia ya posta EMS Anuani si zipi pale
  5. H

    JamiiForums Tanzania Kasumba ya kuna uchungu wa mzazi kwa mtoto aliyemzaa haina ukweli

    Pia ukiachilia mbali kuzaa mtoto Bond kati ya mzazi na mtoto inaongezeka katika malezi Pale anapozaliwa mpaka anapokua mkubwa Ukaribu. Na urafiki unaojenga kati yako na mtoto unaongezeka siku Hadi siku Ukikaa mbali na mtoto hatakupenda Na ndio maana unaweza kukuta watoto wanaopelekwa boarding...
  6. H

    JamiiForums Tanzania Kasumba ya kuna uchungu wa mzazi kwa mtoto aliyemzaa haina ukweli

    Mengi uliyoandika hapa ni ya uongona hakuna utafiti wowote hapo Umeangalia sehemu ndogo ya watu unaowajua na wanaokuzunguka Binafsi Nina watoto 4 wote wa kiume sijawahi kumpenda mmoja zaidi ya mwingine watoto wote kwangu ni sawa .nashangaaa sana watu wanaoina eti mtoto Fulani anapendwa...
  7. H

    JamiiForums Tanzania Kasumba ya kuna uchungu wa mzazi kwa mtoto aliyemzaa haina ukweli

    Kumwomba Mungu ni wajibu wetu na Hilo liko wazi kwenye vitabu vyetu vya dini Usitake kupotosha Imani za watu
  8. H

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

    NIDA au RITA? NIDA inashughulika na usajili wa vyeti vya ndoa?
  9. H

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

    Kama ilivunjaa mahakamani si alitajiwa apeleke uthibitisho wa talaka Kama hakupeleka inaa maana hakuna talaka Mahakama inahitaji vithibitisho sio maelezo ya mdomo
  10. H

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

    Ndio alipewa vyeti viwili Katika cheti Cha ndoa Kuna sehemu ya mke mmoja na wake wengi unachagua Lakini cheti hicho hicho kinatymika kanisani mchungaji au padri anajaza sehemu ya mke mmoja anaweka tick Kwa sababu kanisani huwezi kuchagua ndoa ya wake wengi
  11. H

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

    Hata wangetengana miaka 20 kama haikuvunjwa mahakamani Bado ni ndoa Hallali Mahakama inpokea vithibitisho sio maneno
  12. H

    JamiiForums Tanzania Uchawi upo! Muendekeze Mungu ufe masikini

    Mungu atakuokoa na utamtunikia Siku Moja Mungu aliwabadilisha wengi Nawe Kuna siku utamuabudu
  13. H

    JamiiForums Tanzania Nifute kwenye kitabu cha kuzimu, niandike kwenye kitabu cha uzima" Hivi vitabu vikoje na uhalisia wake?

    Wakala wa Satan pole sana Kila kitu kitapita lakini neno la Mungu halitapita
  14. H

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Waziri wa Elimu, huu mtindo wa Kubakiza watoto shuleni wakati wa likizo ni Sahihi?

    Mliosoma hiyo miaka ya 2000 ndio shida ilipoanzia Shule ndioi zilianza kukaririsha watoto na kuondoa likizo Wamekaririshwa tu notes darasani hakuna skills zozote wamepata Hata kupika tu watoto wetu hawajui kisa kukaa shule
Back
Top Bottom