:a s 465:tuache itikadi za vyama vyetu, hapa rais na washauri wake wamechmsha.
Na hakuna pa kujificha, tuombe mungu na tushukuru tuko hivyo watanzania hatupendi shari vinginevyo hapa patageuka kuwa "tunisia"...!:a s 465:
Ni kweli mshahara ni mdogo ukilinganisha na mfumuko wa bei!
Serikali; kwa ujumla wake wote serikali yetu haijampa mtumishi wa umma heshima yake kimasilahi, hasa kodi ya mshahara anayokatwa mtumishi kila mwezi, mfanyabiashara mwenye biashara ya mamilioni halipi kwa mwaka.
Natamani Serikali yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.