Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

Mnafiki mkubwa mziki umekwisha yeye ndio anaanza kuucheza; alikuwa wapi siku zote wakati kina mama na watoto wanateseka?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
mmh hiyo chai ya bil15 sukari yake ni dawa ya kurefusha maisha au?
.
 
hiyo tume huru kwa lipi hasa na kwa gharama za nani? imo serikali iendelee na taratibu zake za kawaida kulishughulikia suala hili, ambaye hataridhika aende huko anakoona kunapatikana haki. we have important burning problems kuliko individuals na some isolated events.

jina lako tu linadhihirisha ukilaza ulio nao na hii yote ni athari ya kunywa kahawa na kucheza bao kutwa nzima. POLE YAKO.
 
mimi naona hakuna haja hata ya kuwa na tume maana mtesaji wa Dr. Ulimboka anajulikana. Hii ni sawa na kuunda tume kuchunguza kama binadamu anakichwa au hana.
hiyo tume huru kwa lipi hasa na kwa gharama za nani? imo serikali iendelee na taratibu zake za kawaida kulishughulikia suala hili, ambaye hataridhika aende huko anakoona kunapatikana haki. we have important burning problems kuliko individuals na some isolated events.
 
President mtarajiwa 2015 tunakusubiri tukuingize pale ikulu bila ubishi pongezi sana kamanda
 
mimi naona hakuna haja hata ya kuwa na tume maana mtesaji wa Dr. Ulimboka anajulikana. Hii ni sawa na kuunda tume kuchunguza kama binadamu anakichwa au hana.
approved..kama mlipa kodi huu ni uamuzi sahihi..whether wanawajua wahusika or not.
 
Mkuu Abdulhalim, cant you see there MUST be a connection and links from one event to another? Nyerere amesema kuhusu dhambi ya ubaguzi....ni sawa na kula nyama ya mtu.....! Like wise this could start with Uli....and spread to something else, lets find its root and uproot it whenever possible otherwise tutalea saratani mbaya
i agree kwamba waliotenda hicho kitendo wanapaswa kusakwa na kufikishwa mbele ya sheria..hakuna mjadala kwene hili. Lakini at the same time i'm perturbed kwamba jamii ya wadanganyika sasa imekuwa too excited na conspiracy theories za uli na madr wakisahau kuwa kuna matatizo mengi na mazito zaidi yanatukabili kama taifa. hii excitement haina tija yeyote maana wanasiasa uchwara ndio fursa yao ya kuzidi kutuvuruga kwa manufaa yao binafsi.
 
Aghrrrrr! Kama ni hivyo waandae eneola kunywea hiyo chai kila wilaya wananchi wooote wawe wanaenda kunywa chai hiyo.
 
Prof. Slaa, tamko lako ni tamko la wanachi wote wenye uchungu na nchi hii, kasoro yule mama anayejipendekeza kwa JK; matomatoes. Amesahau kwamba anakaa tangayika (masaburini mwa nchi) na kwamba usafiri wake mkubwa ni barabara na siku likimkuta la kumkuta walah atakimbilia kwa sangoma.
 
Kiongozi wa upinzani nchini na Katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa amelaani vikali kushambuliwa na kuteswa kiongozi wa madaktari nchini Dr Ulimboka Stephen.

Kiongozi huyo amesema hakuna njia zaidi ya kuunda tume huru kuchunguza tukio zima la utekaji kwani Mtuhumiwa namba moja ni serikali na kamwe haiwezi kujichunguza yenyewe. Dr. Slaa amesema vinginevyo matokeo ya tume hiyo ya serikali ambayo si huru hayatatambuliwa wala kukubaliwa na wananchi.

Dr Slaa amesema anashangaa kusikia serikali haina fedha za kuwaongezea madaktari huku katika bajeti ya mwaka huu ikitenga shilingi bilioni 15 kwa ajili ya chai tu.


Source: Mwanahalisi
Mkuu kumbe chai maofisini ni Tshs15,000,000,000/= ( fifteen billion) Mhe Raisi washauli wake wanamwambia hakuna fedha, heeee hii sasa kazi!!!!

 
Hivi Slaa, ni mwanaharakati au mwanasiasa? Sasa wewe kazi yako kulalamika tu na kukosoa sema basi Chadema wakichukuwa nchi Madaktari watalipwa milioni 10 kwa mwezi na nyumba pamoja na gari ya kutembelea, Walimu kima cha chini watalipwa Sh800,000 kwa mwezi.

Kumbe Chadema walikuwa nyuma ya huu mgomo Slaa, sema mtawafanyia nini Madaktari mkichukuwa nchi.
Wewe mtawala acha story wagonjwa wanakufa lipa madaktari warudi kazini kupunguza vifo, ya Dr Slaa yatakuja baadae 2015!!!!

 
:a s 465:tuache itikadi za vyama vyetu, hapa rais na washauri wake wamechmsha.
Na hakuna pa kujificha, tuombe mungu na tushukuru tuko hivyo watanzania hatupendi shari vinginevyo hapa patageuka kuwa "tunisia"...!:a s 465:
 
Kwa kweli matukio ya ajabu nchini yamezidi, Nikikumbuka kifo cha Mbunge wangu Chacha Wangwe naona kama mazingaombwe tu. Na nilivyokuwa nimejipanga siku ya mazishi ningemuona mbwa mwitu aliyeutoa uhai wake siku ile, ungekuwa msiba kwa wanachama wa aliyekasirika kuhojiwa na Hayati Chacha Wangwe kuhusu mapato na Matumizi. Bora ulimboka atapona lakini tumuombee uzima badala ya kujikita katika story. Ni vyema tumuombee apone kwanza
 
Back
Top Bottom