Recent content by hexacyanoferrate

  1. hexacyanoferrate

    Aliyezuia wenzake wasiongee, Naye anataka kuongea sasa

    Mi ccm ya hivi,kichwani ni funza tu
  2. hexacyanoferrate

    Mbona wenye mamilioni ya chanjo bado wako lockdown na wanakufa

    Chanjo haitibu, inazuia au inakinga, kwahiyo kuna watu tayari wanamaambukizi. Tumieni akili kidogo nyie lumumba, kazi kuabudu tu na kusujudu pumbavu.
  3. hexacyanoferrate

    Ile dhana potofu kuwa ufisadi ni maendeleo sasa haipo. Kila pesa ya serikali inafanya kazi inavyostahili

    Njoo huku mwanza halmashauri ya ilemela, utajionea jinsi mbunge na mkurugenzi wanavyipiga hela. Madiwani wao wanahongwa tu elfu 50 wanabaki kupiga tu makofi. Kwa kifupi awamu hii ndiyo watu wanapiga hela kinoma
  4. hexacyanoferrate

    Dkt. Mwigulu: Chanjo za Corona zimefanyiwa utafiti nchi za baridi zitawafaaje watu wa Dar es Salaam?

    Vipi chanjo za ndui, pepopunda, surua na nyingine nyingi kwa watoto, zilifanyiwa utafiti wapi?
  5. hexacyanoferrate

    Barua ya wazi kwa Rais: Mhesimiwa, Mungu ametusikia sasa na wewe tusikie

    Wewe unawaza lockdown tu! Soma umuelewe jamaa. Anachotqka serikali ikubali kabisa kuwa ugonjwa huu upo na unaua watu ili watu wachukue tahadhari, siyo kutuambia eti changamoto ya upumuaji mara phneumonia, watu wanaona kawaida tu na ndipo maambukizi yanapozidi.
  6. hexacyanoferrate

    Yaliyojiri Karimjee: Zoezi la kuaga mwili wa Marehemu Dkt. John Kijazi, rais Magufuli atoa neno

    Akubali kuwa tatizo lipo. Ahimize wananchi kuchukua tahadhari siyo kujidai eti sana imani kwa Mungu, kuwa na imani bila kuwa na tahadhari ni upumbavu. Ni sawa na kumjaribu Mungu
  7. hexacyanoferrate

    Mnakomaa kupata Tume Huru ya Uchaguzi, mnadhani itawaweka madarakani?

    Huna hoja bwege wewe! Utadhani hauishi tanzania! Endelea tu kula maisha, siku wakikugeuka akili zitekuingia
  8. hexacyanoferrate

    The New York Times lasambaza uongo Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze, au uongo tukanushe?

    Pascal, we subiri kuteuliwa ukale bata na maccm wenzako. Ila kutuambia kuwa uchaguzi ulikuwa wa haki nikutufanya sisi mazuzu. Yaani nyie ccm ndiyo mlikuwa mnauona huo uchaguzi na sisi tulikuwa vipofu? Pascal usinifanye nikakujibu vibaya kwa hasira. Kubali hata Kama ni mccm kuwa hakukuwa na haki...
  9. hexacyanoferrate

    GE2020 CHADEMA kuweni makini sana na Uchaguzi huu

    Kwa tathmini ya harakaharaka inaonesha uchaguzi mwaka huu ni mgumu sana kwa CCM. Siyo kwa sababu CCM haijafanya kitu , la , ila ni kwa sababu raia wa nchi hii wameichoka kabisa. Ndiyo maana wamejaribu kuonesha na kutangaza miradi mingi iliyofanywa na Serikali yao lakini raia hawaelewi. Kwa...
  10. hexacyanoferrate

    GE2020 Bashiru na Polepole Heshima yenu ni Kujiuzulu

    Ushindi wa tume siyo ccm
  11. hexacyanoferrate

    GE2020 Wasimamizi wakuu wa vituo vingi vya kupigia kura ni walimu. Je, mwalimu ndiye atakayemnyima fomu ya matokeo ya uchaguzi wakala wa upinzani?

    Pamoja na kwamba ni walimu lakini ni wanachama cha ccm. Kama siyo mwanachama walikuwa hawateuliwi
  12. hexacyanoferrate

    GE2020 Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

    Mimi najua nyie ccm mnajua kabisa ukweli wa mambo. Lakini kwasababu ya kutetea matumbo yenu mnajitoa ufahamu. Kwasababu mwenye akili timamu hawezi kumpigia kura jpm hata kidogo. Sasa hivi hatawasimamizi wa uchaguzi wanapewa interview na wanaulizwa kama wako tayari kuishindisha ccm kwa njia...
Back
Top Bottom