Recent content by hewamkaa

  1. hewamkaa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni Jumamosi nyingine, siku nyingine wanaume wapumbavu kwa gharama wanaoa wanawake waliotumika

    Akili zako mbovu. Hakuna K inaonyeshaga "miss call". Hata wewe kama hujaoa, utaangukia huko huko
  2. hewamkaa

    JamiiForums Tanzania Waliotaka kuvuruga mkutano wa Chadema Singida wadhibitiwa

    CHADEMA wametegwa wakategeka. Kitakachofata ni kupigwa marufuku mikutano ya CHADEMA.
  3. hewamkaa

    JamiiForums Tanzania Demokrasia na uhuru nchini umepitiliza mipaka mpaka akina Heche wanatukana Polisi na Wanaharakati wakivuka mipaka kuja kuleta uchochezi nchini

    By the way, matusi ni subjective. Wa kuamua neno liwe tusi ni wewe mwenyewe
  4. hewamkaa

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya

    Pole Fr Kitima.
  5. hewamkaa

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM: Wapinzani wakifa, hatuwezi kulia! Tutawatupa Mtoni, wawe chakula cha mamba

    Mambo yalianza hivyo DRC
  6. hewamkaa

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kosa kubwa la CHADEMA: wanadhani bila wao hakuna upinzani

    Haki ya Mungu, CHADEMA wametegwa wakategeka.
  7. hewamkaa

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamo-Hanga na dereva wake wafariki dunia

    RIP mkurugenzi. Mojawapo ya makosa ya madereva wa Serikali, ni kudhani kuwa, wakishawasha vile vitaa na vimulimuli inatosha inatosha kumanouvre bila kujali watumiaji wengine. Na kwamba mwendokasi wao watapishwa na kila mtu. RIP dereva
  8. hewamkaa

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Dkt. Mollel: Hatuna deni na Rais Samia, kuna watu wameweka mpira kwapani. Hata mimi ningekuwa Lissu ningeweka mpira kwapani

    Kumbe vyama vingine ni CCM B? Nimeelewa CHADEMA ni kiboko yao.
  9. hewamkaa

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Silaha hii wanaitumia CCM dhidi ya upinzani na imewapa ushindi 1995, 2000, 2005, 2010, 2015, 2020 na mwaka huu 2025 wanakwenda kuitumia tena

    Huku kwetu Mongolandege, Ukonga, mabalozi wa CCM wanaorodhesha watu na namba zao za kadi kupigia kura, pamoja na namba za simu. Wanasema wametumwa na Mbunge Slaa
  10. hewamkaa

    JamiiForums Tanzania Kupiga kura katika jamii ambazo zinagombania madaraka

    Umeshataja impact ya uchaguzi wetu sasa unachotaka ni nini
  11. hewamkaa

    JamiiForums Tanzania CHADEMA inahitaji mabadiliko ila sio kwa mtu kama Lissu

    Je, Serikali isipotaka kuongea mtaifanyaje?
  12. hewamkaa

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHADEMA wamestuka wakiwa tayari wamevuana nguo, ni uongo kuamini watabaki imara

    Lisu ni majungu tu. Ni mtaalamu wa kuvua watu nguo kwa sana. Mbaya zaidi akamshirikisha nabii Lema.
  13. hewamkaa

    JamiiForums Tanzania Maombi Maalum kwa Uchaguzi wa CHADEMA.

    Ombea bifu alilonalo Lema kwa Mbowe. Tutake tusitake, tukubali tusikubali, hasira aliyonayo Lema kwa Mbowe ni zaidi ya mambo ya siasa. Kuna jambo limejificha. Na Pindi Mbowe akiibuka kidedea, tutaanza kusikia hata siri za ndani. Lema si bure. Kuna jambo ambalo hajapenda kulifunua. Na yaonekana...
Back
Top Bottom