Watu wanahama Kwa pesa sio Kwa sababu wanapenda lakini uhamisho umekuwa mgumu na umetengenezewa mazingira ya rushwa sana , tulipo ona ESS tukafikiri tumepona lakini Bado Kuna watendaji (maboss zetu ) wanataka rushwa ndio maana ata kama unavigezo vya kupata uhamisho kwenye mfumo wanaangalia tu...
Mimi ni Clinical Officer, mkuu lakini concern yangu ni kuwa wilaya ya Nkasi inapuuza sana maombi yaliyo katika mfumo wa ESS , wanayatazama tu , kazi Yao kubwa nikuhimiza ujazaji wa majukumu, pia wilaya ya Nkasi imekaa kirushwa rushwa hivi maana mtu akifanikiwa kutoka ukiuliza anakuambia jipange...
Ndugu zangu hii naiona wilaya ya Nkasi iliyoko mkoani Rukwa , wilaya hii ni ngumu sana kupata uhamisho hasa kupitia mfumo wa Ess ambao uliletwa mbali na shughuli nyingine kumrahisishia mtumishi kufanya maombi ya uhamisho , Katika wilaya ya Nkasi maombi ya uhamisho tena yenye vigezo kabisa katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.