Recent content by HESC

  1. H

    Wilaya ya Nkasi na Mfumo wa ESS

    Kweli imejaa vilaza kaka Kwa kauli hiyo tu nakubali ni wilaya yako🤣🤣
  2. H

    Msaada Nimepewa barua ya uhamisho lakini hawataki kunifungia Datasheet

    Watu wanahama Kwa pesa sio Kwa sababu wanapenda lakini uhamisho umekuwa mgumu na umetengenezewa mazingira ya rushwa sana , tulipo ona ESS tukafikiri tumepona lakini Bado Kuna watendaji (maboss zetu ) wanataka rushwa ndio maana ata kama unavigezo vya kupata uhamisho kwenye mfumo wanaangalia tu...
  3. H

    Wilaya ya Nkasi na Mfumo wa ESS

    Mimi ni Clinical Officer, mkuu lakini concern yangu ni kuwa wilaya ya Nkasi inapuuza sana maombi yaliyo katika mfumo wa ESS , wanayatazama tu , kazi Yao kubwa nikuhimiza ujazaji wa majukumu, pia wilaya ya Nkasi imekaa kirushwa rushwa hivi maana mtu akifanikiwa kutoka ukiuliza anakuambia jipange...
  4. H

    Wilaya ya Nkasi na Mfumo wa ESS

    Ndugu zangu hii naiona wilaya ya Nkasi iliyoko mkoani Rukwa , wilaya hii ni ngumu sana kupata uhamisho hasa kupitia mfumo wa Ess ambao uliletwa mbali na shughuli nyingine kumrahisishia mtumishi kufanya maombi ya uhamisho , Katika wilaya ya Nkasi maombi ya uhamisho tena yenye vigezo kabisa katika...
Back
Top Bottom