Yaani Kaafir awe na akili kuwazidi Watu wa Tauhidi?
Kwani ukisikia mwenye akili unaelewaje?
Maana hata MUUMBA kuna watu amewaita wenye akili,( Wenye Kufikiri) anawajua ni watu gani hao?
Kila ninapomtazama TAL na aliyoyapitia na anayoyapitia sasa hivi naona miaka si mingi anakuja kuwa President wa Jamhuri hii .
Sina tangible reasons msije kunikaba lakini kuna vitu katika dunia hutokea tu ili kuwaonesha wanadamu kuwa yupo mpangaji wa mambo tofauti na vile tunavyojiaminisha kuwa...
Mkuu inapendeza sana unapotaka kuandika chochote hasa kile ambacho huna ufahamu nacho UKAFANYA ITAFITI JAPO MDOGO.
Unless kama umekusudia kupotosha .
Ashakum si matusi -Haifai kumjibu Mjinga
lakin kwa faida ya wasomaji ipo haja ya kuweka sawa jambo hili.
Na Nitajielekeza katika point zako...
Uislam si sawa na Ukafiri na ndio maana sisi kila mmoja ni lazma aisome Dini yake na aijue na amjue mola wake na Mtume wake.
Sasa Katika dini hii hata leo hii MUFT anajitokeza na kulizungumzia jambo lolote ,kwanza
1. Anajua kuwa huenda katika hadhira iliyopo kuna huenda ½ yao wana elimu kumzid...
Huna namna nyingine Mkuu ya Kutushauri?
Kwahiyo Mtu akitoa maoni yake tayar tususie bishara zake?
Njia ya Dom kumsusia Shabiby
Ni sawa kususia bidhaa Za Azam ,utaishije?
US ndio anaitaka Tehran, Israel hana ubavu wa kupambana na Hezbollah ndio aimudu Iran?
Hezbollah na Houth tu amemudu kwa Backup kutoka Washington
Umeingia cha Mabubu
Bora wakatae kabisa, kwanza ukipata dharura na ukatakiwa kujifungua kwa upasuaji na ukakosa 150k basi upo hatarini kupoteza uhai wa Mama na Mtoto kama ilivyotokea mara 2 miezi kadhaa nyuma kanda ya ziwa na Tanga .
Utaratibu wa Wanaume kuingia Leba si katika tamaduni za Kiislam
Dunia inakosa utulivu kwasababu yao, kuna Majamaa yanaitwa THE LORD ROTHSCHILD ,Familia hii ndio chanzo cha kila Shari uionayo na kuisikia katika ardhi hii
Wafautilie
Maulid ikiwa atakuwa na utitiri wa ndoa basi ni nne tu, ama hayo mengine ikiwa utatakiwa kuthibitisha utaweza? Au nawe wataka ndoa na Maulid?
Na uzuri wa Kitenge hajaweka sana maisha yake binafsi hasa ya kifamilia mitandaoni..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.