Yatupasa tujivunie nini tulichokipata chuoni tulipo somea na wala sio jina la chuo!yatupasa kujiswalika wenyewe kama vle; je ulichokipata kinauzika mtaani?je unaweza kuhimili ushindani wa ajira? N.k
Ningependa msaada wa forum na watu wote wenye account humu wanisaidie kufikisha taarifa hii sehemu husika hasa wizara ya mali asili na utalii, kilimo na mifugo, mambo ya ndani pamoja na kamati itakayo undwa kuchunguza uvunjaji wa haki za binadamu uliofanyika kwenye operation mbalimbali hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.