Recent content by Herg

  1. H

    Wananchi wapagawa baada ya Bomoa bomoa kuwapitia Pugu

    Mbona machinga tunawaacha wafanye biashara barabarani ksbu ni wanyonge kwani wanatofauti gani na hao kinamama
  2. H

    Mnaongeleaje wizi wa mafuta sheli, yaani kujaza upepo?

    Kwani kuuza si ndio kujiondoa kwenyewe? Kwani ulitegemea wajiondoeje?
  3. H

    Gavana wa BOT atangaza Serikali kuichukua na kuisimamia Benki ya Twiga Bancorp

    BOT chombo huru ktk utendaji wake. Km una mda unaweza kugoogle independence of central bank....Gavana ndio final say ktk usimamizi wa banks na sera za uchumi. Waziri ana mamlaka katika fiscal policy tu!!!!
  4. H

    Sumu inayosambaa mitaani dhidi ya Magufuli, Mungu ingilia kati

    Ni sukari tamu hasa kwa sisi wanafunzi maskini tuliokosa mikopo ksbu elimu ya juu ni anasa na ufusadi mtupu. Watoto wa wanyonge wakachunge ng'ombe kijijini!
  5. H

    Serikali ya Tanzania kuingiza nchini ndege 2 za kisasa kutoka Canada ndani ya siku 60

    Very well said mkuu! Mm nashangaa tunavyolipokea hili suala kwa hisia, kwani ni nani aliesema tatizo la ATCL ni kutokua na ndege? Na ndio maana inashauriwa serikali isijiingize ktk biashara.
  6. H

    Rais Magufuli, kuwapunguzia mshahara walio juu ili uwaongezee wa chini ni sawa, lakini...

    Kazi ya CEO wa NHC si ilitangazwa ktk magazeti? Mbona hukuapply upate 40m unabaki kufundisha physics wanfunzi wako wanakuja kukupita mshahara?
  7. H

    Dr. Kimei: Hatua ya Serikali kuhamishia akaunti zake BoT, itasaidia kupunguza mfumuko wa bei

    Soko letu liko tofauti sana.....unaweza kuamini baada ya serikali kutangaza kuondoa fedha zake ktk mabenki CRDB ikiwa mnufaika mkubwa lakini matokeo yake share za CRDB sokoni zinapanda!!!!!!!!
  8. H

    Kwanini bank hela nyingi zikiwekwa ghafla kwenye akaunti unafuatiliwa sana!!?

    ni kwa sababu banks zinatakiwa kisheria kureport pale panapokua na wasiwasi mteja anajaribu kuficha chanzo cha fedha zilizopatikana kwa njia chafu au pale banki inapokua na wasiwasi kua fedha zinalenga kuchangia au kufadhili ugaidi.Na mojawapo ya viashiria ni hiyo ya akaunti kupita kiasi ambacho...
  9. H

    Mbona kama UKAWA imekosa mvuto ghafla?

    Ukabila mtupu....hata Mgeja nae si wa huko huko tuu.
  10. H

    Kanali mstaafu wa JWTZ analipwa Pensheni 22,000/= na Jenerali analipwa 50,000/=

    Mkuu kwenye pension kuna kitu kinaitwa indexation....usipokua nayo hata uyo anaepata 7m leo atalalamika hivyo hivyo miaka 20 ijayo.
  11. H

    iPad for SALE

    Kwa huku kwetu cellular ndio mpango mzima ksbu ni maeneo machache yana wifi.
  12. H

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    Ujue hapo ndio nyumba zinapotofautiana. Kitasa cha 60k ni anasa tuu. Kuna vitasa imara vya kuazia 15k mpaka 25k na viko poa tuu. Finishing inategemea budget ya mtu na nyumba haaiishi kujenga kwaiyo finishing itaendelea hata baada ya kuhamia.
  13. H

    Mshahara wa Nehemia Mchechu wa NHC ni USD 19,000 kwa mwezi

    Pakiwa na grades ndio ile inafanya watu wanalipwa sawa regardless ya ufanisi au aina ya kazi so long as ww ni CEO unalipwa kiasi fulani. Tutashindwa kuattract watu wazuri ksbu tuu hawatakua tayari kupokea malipo ktk grades fulani. Imagine benki inayomilikiwa na serikali inatafuta CEO na grades...
  14. H

    Vip engineering yashinda kesi

    Jamani mtu alielewa hii kitu na implication yake atujuze.
  15. H

    CRDB ni Moja ya Benki zenye huduma mbovu sana

    Wanapitia wakati mgumu sana sasa ivi kifedha (nikimaanisha liquidity) sio wanaishiwa ktk ATM ni wanamanage liquidity yao kihuni hawana maana. Haiwezekani ATM nyingi kiasi hicho zinakosa hela kila j2 haijalishi mwanzo wa mwezi au lini.
Back
Top Bottom