Leo ngoja niwasaidie jamaa zangu wa CCM ambao wengi wao hawajui Hesabu. Tangu Mgombea Urais wa UKAWA Mhe. Edward Lowassa atangaze Elimu bure, kuna watu wamekuwa wakiona huo kama muujiza.
Kwa kifupi zipo njia nyingi sana zinazoweza kufanya Elimu kuwa bure kuanzia Shule ya msingi hadi Chuo...
* ILIYOKUWA KAMBI YA LOWASSA YAVUNJIKA RASMI
*MGEJA AMPIGA PETER SERUKAMBA KWA CHUPA, KITI NA MAKOFI LUKUKI
* SERUKAMBA AMFIKISHA MAHAKAMANI, MUDA WOWOTE MGEJA KUPANDA KISUTU...
Ule usemi wa mfadhili mbuzi utakunywa supu kuliko binadamu wajidhihirisha wazi ktk kile kinachoitwa dharau...
*HUMPHREY POLE POLE NI MCHUMIA TUMBO WA CCM.
Ni kijana fulani hivi, mdogo wa umbile na ukimwangalia ni kama hayuko sawa, sitaki kulisemea sana hilo, naomba nijikite kuwaletea hasahasa mawazo yake ambayo watanzania waliamini kama ni chanya lakini baadae wanakuja kugundua kuwa mawazo yake...
LOWASSA AONGOZA KURA ZA URAIS.
Shirika la New Deal Africa kupitia mtandao wake wa Easypolls.com wanaendesha utafiti (opinion poll) kwa wagombea Urais nchini Tanzania waliojitokeza hadi sasa ambao ni Edward Lowassa wa (CHADEMA /UKAWA) na John Magufuli (CCM).
Hadi leo asubuhi matokeo ya...
LOWASA HANA HATIA HATA KIDOGO.
Muda umepita sasa tangu Waziri Mkuu aliejiuzulu Mh Edward Lowassa kujitetea kuhusu kashfa ya richmond.
Lowassa alisema bayana hadharani mbele ya waandishi wa habari na umma kwa ujumla akiwa 'live' ITV, kuwa alipokea maelekezo kutoka 'mamlaka za juu yake' kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.