mkuu sifi leo... wewe pia umefanya uzembe mkubwa saana. hujawajibika ipasavyo Kama baba , na huu uzembe wako ndo umefanya uzalishe maswari mengi ya sintofahamu.
wewe Kama baba ndo ulaumiwe . wanaume ni lazima ubakishwe 50% ya utimamu wa maamuzi sahihi hata Kama upo kwenye tatizo kubwa kiasi...
hata wao enzi za Hitler waliuawa Sana watoto zaidi ya mil. 1,na wazee na vijana zaidi ya mil. 5. wanajua machungu ya kumlea adui.Ni haki yao kujilinda .
nawasapoti Israel ktkt Vita hii kwasababu Hamas walianza ugomvi wao wenyewe hivyo haijalishi watakufa wangapi cha msingi waangamizwe wote. Ila jews wao wanaamini torati ya Musa yaani agano la kale , ni wachache Sana wanaoamini mafundisho ya yesu . Hata hivyo nawasapoti Jews kujilinda na kuilinda...
Enzi za mwalimu Nyerere aliwatosa Israel na akawakubali Palestine na hadi kuweka ubalozi.
Zama hizi Tanzania imepiga kura ya veto kupitia UN, kupinga kile Israel inachokiita kusafisa magaidi ya Hamas
Tangu uhuru hadi leo hakuna Rais aliyewahi kuwaunga mkono Israel juu ya mzozo wao kongwe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.