Wakiifunga Yanga mnawasifia mapambio kila aina mara hawajawahi kufungwa kwao nk Yanga akiwafunga wanageuka dhaifu ghafla,
Hao usma unaosema wapo nafas ya 10 walimtoa asfar ambae yupo nafas ya ngap hapo??
Rage alimaliza kila kitu
Kwaio nyie zuwena fc jana mlishona sare mkitegemea singida big stars awapambanie??
Nyie mkimfunga ruvu 7 sie tunapata moja kwa mbinde geita mliwapiga 5 tena kwao nyankumbu wakat yanga haijawah kuwa na mechi nyepes na geita.
Nihitimishe kwa kusema kila mtu ashinde mechi zake.
Sema nn...
Ni walokole na walokole ndo wana tabia nyingi za kipuuzi na matatizo ya afya akili, makanisa mengi ya kilokole yameproove hilo, mbona hatujawahi kusikia padre wa roman kawaambia waumin wafunge kwaresima nzima kavu mpk wafe? Au muumin yeyote wa roman kafa kwa kufunga? Mbn waislam wanafunga miaka...
Vipimo vyote havioneshi ugonjwa wowote Na Mpaka sasa kama madaktar hatujajua tatizo la mgonjwa, ningeshauri mjaribu Na upande wa pili we kama mtu mzima utakuwa umenielewa
Wanaume wakiwa kwenye vijiwe vya kahawa ban [emoji1787][emoji1787] kila mmoja haongi yaan! Uzur adui wa mwanaume ni mwanaume yaan, unaona elf 10 nyingi mwingine anatuma laki [emoji23][emoji23] ndoivo ilimradi mtt wakike apate kuishi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.