Kwa upande wangu niko bomba kabisa,,,sina upele wala homa,wala uvimbe,,,tangu mdogo natumia sabuni ya kufulia kuogea mpaka leo nipo 30+,,,
Mnaofahamu madhara yake hebu mkuje mtujuze tafadhali!!
Wana JF msaada tafadhali,,,kwa anayeifahamu lotion ya KERI SHEA BUTTER naomba kujua kama ni nzuri kwa kung'arisha ngozi na kufanya mwili kuwa na rangi moja. Na je inauzwaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.