Muda stahili kwa mwanachama kupewa ridhaa ya kuwania udiwani, ubunge au urais, sidhani kama kilizingatiwa kipengele hiki, hakuna chama kinaruhusu utaratibu kama huu.
Ndiyo hayo hayo yanayoendele yana mahusiano tu, kwanini asihame tanbgu hapo awali kama si kusikilizia wapi kuna kitu. Kick za kustaafu siasa siyo kama hizo
Mwanachama hana hata wiki, wakampa kugombea urais, UKAWA haikukosea, ila CDM ndio ilikosea, ila kilichopo nyuma ya yote ni tamaa na uchu wa madaraka na maslahi binafsi
Nadhani ujumbe mfupi wa ZITTO RUYAGWA kupitia mtandao wa Twitter una ujumbe mrefu na mzito, ila kwa watu wavivu wa kufikiri watashindwa kuelewa kilichomaanishwa, wao wanakimbilia tu kusoma kiswahili, soma na kidhungu hicho, uelewe Tanzanaia njema yaja, sijui hata itakuja vipi wakati kupembus...
Na ndio maana watanzania tunaitwa wajinga, kwa kuwa ni wavivu wa kusoma, hviv hiyo ni habari ndefu!??? MWISHOWE MTAAMBIWA TAFITI ZINASEMA UKISOMA NENO MOJA UBONGO UNAPUNGUA UWEZO WA KUFIKIRI, MTAKUBALI.
Dada Juliana hongera sana kwa harakati zako za kujaribu kuwaweka sawa watu ambao wanahitaji msaada wa kifikra, na pia nikupe pole kwa kuwa unapata attack nyingi pindi tu unapoamua kulizungumzia jambo fulani, ila usikate tamaa Nabii hakubaliki kwao, hawa wanaokukataa ni watu wa nyumbani kwako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.