Wanachama zaidi ya 1900 CHADEMA wajiunga na CCM

Wanachama zaidi ya 1900 CHADEMA wajiunga na CCM

Achana na slogan na propaganda nawewe, unavyosema Ccm nani alikuwa ccm. Mawaziri wakuu wote ambao ni wasimamizi (executive or administration power) yote katika wizara zote walikuwa wao. Leo unatukana sasa tulaumiwe sisi wananchi au wao kwa tamaa zao za kujilimbikizia mali na leo wanakuja upinzani kubomoa upinzani mnawashabikia. Fikiria kabla ya kusema. # hapa ni kazi tu. Mwambie lowasa achanje mbuga hivyo kuwafuata wananchi kama ataweza. *****.
Una tezi dume kichwani
 
Wanatoroka, waache waje, tunawavua magamba tunawavalisha uanachama
 
Utaendelea kuwa mfungwa hivyo hivyo

Hivi wewe Lowasa atakupa nini???, angalia TRA zote Tanzania alipokuwa waziri mkuu mameneja wanatokea ukanda upi. Toa siasa za ukanda hapa Tanzania ni nchi yetu wote sio inayoongozwa kikanda *****.
 
Ukawa aka ukiwa Hamjitambui kwa kushabikia jizi

Ukawa robo tatu ya member na viongoz hawajielew
Hakika na mm namtaka mganga wa edo anipe hio fawa ya kumpumbaza mpaka mbatia na tundulisu
waliokuwa wajenzi wa hoja na watetez wa taifa mpaka kuwa watetez wa majambaz
 
Magufuli atakayekunyima kura na kulipa fisadi mungu ampe rahana ya milele,
 
Back
Top Bottom