Neno ajira ni pana sana wanaosema wanataka ajira hawasemi za serikali au taasisi ilimradi iwe ajira turudi kwenye mifumo ambayo serikali imeweka serikali imeweka mifumo tegemezi hakuna mfumo kwenye elimu amvao IPO dependent yote ni independent hivyo huyo mwanafunzi anawaza nisome nije kuwa...
Chenge hatuhumiwi kwa hilo la mchanga kilichopo hapo ni ile yeye kama mwanasheria alivyosaini sasa je yeye angefanyeje kashapewa amri na mkubwa wake ulitaka apinge alichosema mkubwa wake hata sheria za jeshi ziko hivyo anachosema mkubwa ndicho hutekelezwa.
Usiseme chadema wameshuka ila wamezibwa mdomo na mkulu na kupewa kesi za uongo lengo ni kuwanyamazisha wasiongee kabisa wananchi muwe waelewa waruhusu mjadala na haraiki na mikutano ya kisiasa uone kama wameshuka utafiti umeshindwa kueleza sababu za kushuka Leo CCM inapambana na hewa harafu...
Tunazungumzia sana ushabiki bila uhakika CCM majengo yale yalijengwa na wananchi kwa kodi zetu wenyewe kipindi cha chama kimoja leo hii mnasema imejenga viwanja kiwanja gani imejenga baada ya mfumo wa vyama vingi vya siasa kama sio vyoye imehaji kutoka kwa wananchi yaani serikali na kuwa mali...
Ripoti hii hatari mtu amechimba madini miaka nenda rudi harafu leo mnasema yupo kinyume hii tumlaumu nani katika hili ni shida hatuji kuwa kwenye mstari kwa uzembe kama huu.
Hajasema waanze kuchangia Bali wasikilize kwa manufaa ya wengi kilichokuwepo ni kusifia bila kujua nini athari yake tunaona deni la taifa ni zaidi ya bajeti.
Mtoa mada ameandika huku amefumba macho maana alicho andika hakina mchanganuo wowote wa kuonyesha ni nna gani itatekelezwa au kwa sababu wabunge walipiga sana makofi? Kuna maswali najiuliza bajeti iliyopita walipunguza kodi kwa wafanyakazi wakaongeza gharama za miamala ya kibenki hii imepelekea...
Upuuzi kama huu tena aache kabisa ataumbuka hadi atajuta anahisi watu wote anaweza kuwachapa viboko aende akasome
Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.