Dah mzee sina muda wa kutosha.
but anyway.utafiti unaonyesha idadi ya wanawake imezidi sana idadi ya wanaume,hata tz ni hivyo.WANAWAKE AMBAO HAWATOLEWA WATATIMIZA VIPI MATAMANIO YAO YA KIMAUMBILE. NDIO MAANA HAWALAZIMISHWI ILA WENYEWE WANAONA KUNA HAJA YA HILO. what du u thınk.....
karibu sana dada yetu na pole kwa tabia za "kutowajibika" za mume wako. kwa kifupi na kwamba,swali kama hili linahitaji jibu la makini na la ukaribu.
Nadhani site hii si wala si rahisi kupata ushauri utakao kufaa kwa swala la kijamii,kifamilia na kimahusiano kama hilo.yawezekana wengi kati ya...
nadhani unahitaji kuzingatia kwamba fikra zakao zime base kwenye assumptions ambazo bado hazijatokea.kama ukizangatia kwa makini misingi ya muafaka ambayo ni serekali ya mseto, hata kama humuamini maalim Seif ambaye atakuwa waziri kiongozi basi muamini Karume.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.