Naamini mu wazima mwenye taarif zozote kuhusu chuo cha DIT hasa vigezo vya kujiunga na kozi za IT maana nimesoma Arts ila napenda kusoma IT hapo DIT, nna pass 1.3 Alama zangu ni F ya mathe, B ya english na C ya kiswahili.
Yaliyobaki yote D.
Pass 1.3
CIV - 'D'
HIST - 'D'
GEO - 'D'
KISW - 'C'
ENGL - 'B'
BIO - 'D'
B/MATH -
'F'
ANAWEZA CHAGULIWA DIT kwa kusomea IT au UDOM kwa kusomea Land managment?
Nadhan ckuamua bado na ckumaliza mwaka jana np hm maisha y watanzania mnayajua ndugu zang ushaur haufi najua nimechelewa sawa ntajiunga next year nw ntaendelea na viji fan
Hadi sasa nishafikiria vingi lakini naona bado sina jibu juu ya cha kusomea maana kila nnachotaka kusomea napata wasiwasi wa kazi Jamani mliotangulia makazini,vyuoni Naombeni msaada
Premier betting Tanzania - Odds Normal ...Oyoo 2shaliwa sana 2shakula sana Mwendo wa kuji2sua 2 kama vp cheki keka 2ka bett Sema Jana Germany kanikosesha elf 60
Ahsante kwa ushaur Rafiki nadhani nimeamua kuwa na mmoja sasa baada ya maoni na nashukuru mungu she love me much thanks kwa wote mlioshaur nimefata ushauri unaofaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.