Recent content by Hebel Mlagala

  1. H

    Hawa ndio waliomtukana Baba wa Taifa Mwl. Nyerere matusi makubwa!

    Kwakweli hao walipaswa kufunga midomo yao kwa aibu
  2. H

    Selelii: Rostam ni mmiliki wa Dowans, Richmond

    Sasa ile siri mliyoficha ili serikali isiporomoke yote kama alivyosema Mwakyembe ni ipi? Au mtaitoa mwaka 2015 baada ya jamaa kumaliza ngwe yake?
  3. H

    Kesi ya Lissu na wenzake: Makinda ahalalisha maamuzi ya Ndugai, aingiza kipengele kwenye kanuni

    Kwa hiyo hata spika akipitisha uamuzi wa hovyo utakuwa kanuni? Kanuni si huwa zinaandaliwa na kujadiliwa kisha kupitishwa? Kama utaratibu ndio huu basi hakuna haja ya kuwepo kwa kanuni zilizoandikwa bali spika ndiyo awe kanuni.
  4. H

    Salma Kikwete si Rais msaidizi wa Tanzania

    ITABIDI niseme kile ambacho yumkini wengine wanakifikiria tu wakihofia kukisema: Mke wa Rais Kikwete, Salma Kikwete, si Rais wa Tanzania na wala si msaidizi wa Rais. Yeye ni mwenza wa Rais na uhusiano wake na Rais unaishia kwenye masuala ya familia yake na mapenzi baina yao. Nje ya...
  5. H

    Ni kweli kuwa utegemezi wa TZ umetoka 45% mwaka 2005 hadi 22% mwaka huu??

    Itawezekanaje wakati deni la taifa linazidi kukua? Huko ndio kujitegemea?
  6. H

    Nape arudia tena kauli yake: 'CCM itatawala Milele'

    Ni kweli kwakuwa naye ataishi milele kushuhudia CCM ikitawala. Kumbukeni huyu ni msomi mwenye masters!
  7. H

    NAPE: Serikali inaunda tume kuchunguza tuhuma za Meya Bukoba (VIDEO)

    Nchi ya tume na kamati. Tume asubuhi, tume mchana, tume usiku, tume, tume, tume.......Iundwe tume ya kuchunguza ugonjwa unaowakumba Nape, Juliana na Mwampamba, wanasiasa waliofilisika wanaohubiri udini, ukabila, ukanda na ujinsia.
  8. H

    Mbatia agomea uteuzi wa Pinda,atao sababu tatu,ufaulu wa shuka toka asilimia 89 mpaka 43

    Mimi napendekeza Mark Mwandosya ambaye ni waziri asiye na wizara maalumu apewe WIZARA YA TUME NA KAMATI MAALUMU ili kufuatilia utekelezaji wa mapendekezo ya tume na kamati maalumu lukuki zilizokwsha undwa. Mpaka sasa Tanzania naona ndio nchi inayoongoza duniani kwa kuund tume na kamati nyingi...
  9. H

    Mbatia agomea uteuzi wa Pinda,atao sababu tatu,ufaulu wa shuka toka asilimia 89 mpaka 43

    Lililoandika kuhusu Tyson kuwa mwanamke ni JAMBO LEO!
  10. H

    Mbatia agomea uteuzi wa Pinda,atao sababu tatu,ufaulu wa shuka toka asilimia 89 mpaka 43

    Safi sana Mbatia. Ungekubali tungekushangaa sana wakati hoja yako ya msingi waiikataa. Mimi nasema wewe ni tofauti sana na Zitto. Huyu Zitto aliongoza hoja ya mikataba ya madini bungeni mpaka aksimamishwa kuhudhuria vikao vya bunge lakini la ajbu rais alipounda tume ya kuchunguza mikataba hiyo...
  11. H

    Wao wanafanya uchaguzi mkuu siku ya jumatatu! Sisi hufanya siku za Jumapili...

    Ni jambo zuri hata kwa Tanzania. Siku ya uchaguzi isiwe Ijumaa, Jumamosi au Jumapili. Siku ya uchaguzi iwe ni Jumanne au Jumatano. Jumatatu mimi nafikiri pia sio nzuri kwasababu watu wanaweza wasipige kura kwa kuamua kusafiri(hasa walioajiriwa) Ijumaa au Jumamosi na kuwa safarini kurudi siku ya...
  12. H

    Kwanini Julian Bujugo anamsakama mama Ndalichako?

    Mimi sioni kosa la Ndalichako na siamini kama anaweza kutoa maelekezo kwa wasahihishaji kusahihisha kinyume na maadili kwasababu za kisiasa. Tatizo la matokeo mabaya si la NECTA ni la mfumo wa elimu. Makosa ya kuchanganya majina hayawezi kuwa ndio sababu za matokeo mabaya. Uzuri baraza...
  13. H

    Kwanini wabunge wachukizwe na MwanaHalisi?

    Mwanahalisi liliwahi kuandika habari ya kiuchunguzi inayoonesha uhusiano na mawasiliano ya siri kati ya Zitto na Mkurugenzi wa usalama wa taifa ambao kwa afya ya CHADEMA ulikuwa si mzuri. Katika hali hiyo si dhani kama Zitto atapenda gazeti hilo lifunguliwe kwa sababu lilishaanika baadhi ya siri...
  14. H

    Viti maalum Vya Uwakilishi bungeni ni Mzigo Kwa Taifa

    Hivyo viti maalumu ni mzigo wa kujitakia. Wabunge wa viti hivyo hawana kazi wala umuhimu wowote na ni moja ya ishara ya ubaguzi ndani ya nchi. Kama sio ubaguzi kwanini kusiwepo viti maalumu kwa ajili ya wanaume, wazee na watoto?
Back
Top Bottom