Ugonjwa wa MPOX unaenezwa kwa njia ya ngono.
Hii siyo njia pekee isipokuwa kwa kiasi kikubwa watu wazima wanapata ugonjwa huu katika mchakato wa ngono au tendo la ngono lenyewe. Vimelea hukaa katika majimaji ya mwili (ute wa mwanamke, mbegu za mwanaume, damu, mate n.k) wa binadamu au mnyama...
Kinacho wasumbua hawa wapinga chanjo ni kutokuwa na uelewa wa msingi katika eneo la chanjo kwa ujumla. Wamepata elimu potofu kutoka google au kwa vishoka wengine. Maana hata huku afya kuna vishoka siyo TANESCO tu
Umenifurahisha ulivyoanza kuelezea ni dhahili uelewa wako uko sawa kiasi. Isipokuwa hapo katikati na jinsi ulivyomalizia imeonyesha pia kuwa hujui kitu na hii ni porojo kama porojo nyingine.
SOMA VIZURI ANDIKA LANGU
1. Ukichanjwa chanjo yoyote kuna UWEZEKANO (%) wa kupata ugonjwa kutegemeana...
DALILI ZA UVIKO-19 AMBAZO HUTOKEA KWA WAGONJWA WENGI
1. Maumivu ya viungo
2. Maumivu ya kichwa
3. Uchovu
4. Homa
5. Kikohozi kikavu
DALILI AMBAZO HUTUKEA KWA BAADHI YA WAGONJWA
1. Maumivu ya koo
2. Kuharisha
3. Kuumwa macho (conjunctivitis)
4.Kutosikia ladha au harufu
5. Kutokwa vipele...
Kwanini nyie wapinga chanjo mnataka hata sisi ambao ni wajibu wetu ni kuelimisha jamii kuhusu masuala ya afya tunyamaze?.
Tutaendelea kutoa elimu ili jamii ifanye maamuzi yoyote huku ikiwa na elimu sahihi.
Most common symptoms:
fever
dry cough
tiredness
Less common symptoms:
aches and pains
sore throat
diarrhoea
conjunctivitis
headache
loss of taste or smell
a rash on skin, or discolouration of fingers or toes
Serious symptoms:
difficulty breathing or shortness of breath
chest pain...
Upotoshaji mkubwa kuhusu chanjo ya COVID-19 unaonyesha jinsi jamii ilivyo na uelewa mdogo kuhusu chanjo zote kwa ujumla.
Hii jamii isiyojua pia inapotoshwa na wenzao wasiojua. Unakuta mtu ame google na kusikiliza clip za wasiojua wenzake sasa anadhani anajua kuliko wenye taaluma yao ya chanjo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.