Duuh yaan jamaaa kaomba msaada wa kimawazo ili ajue la kufanya na ameleta humu akijua Kuna watu wanaweza mpa mawazo lkn naona anapondwa tyuuu sio fresh matatizo yanatokeaga tyuu apewe msaada kwa anayejua bana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.