Hello DC,,, ni miez kadhaa sasa nasumbuliwa na meno magego (kulia na kushoto) hasa ninapokula chakula nahc yametoboka Naomba ushauri na msaada tafadhali maana inafika wakati nakichukia chakula hasa nyama wakati mwingine hata matunda maana mabaki yanaumiza meno.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.