Pesa ni Zao, wanazitaka nyie mnazing'ang'ania. Alafu Mnajisifia eti mmekamata Wahalifu. Subirini na nyie siku mkitoka makazini nawaombea Kwa Mungu muzipate hela zenu kwa Shida ili muyaonje machungu yao.
Mwanza hatuna wabunge, Wamekaa tu wanajali maslahi yao. Barabara ya Kitangiri kwenda Mihama inahitaji Lami, ni mbovu haina mfano. Mvua zikinyesha tu haipitiki na ni mjini Kabisa.
Serikali iandae Kambi Maalum za Ombaomba, ambazo zitakuwa kama Gereza. Yawepo majengo ya Shule kwa watoto kuanzia Darasa la kwanza mpaka Form Four. Wale Omba Omba watu wazima wapelekwe kwenye mashamba ya Serikali walime, wafuge, na pia wapewe ufundi Stadi na kutengeneza bidhaa kwa nembo ya...
Hata mimi nilienda kujiandikisha ofisi zao za Mwanza mwezi wa 8 ili kupata huduma hiyo ya Fiber mlangoni, wakasema hawawezi kuniandikisha kwa sababu hakuna vifaa na waliojiandikisha bado ni wengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.