Ccm ni kundi la matajiri.kufikiri.kutenda kwao ni kitajiri si kimaskini wala kilala hoi ndio maana wapo tayari kuwatoa meno na macho wale wanaotaka kutetea walala hoi
Tangu lini ikaendeshw imekuwa gari.nyie hizo ofisi pamoja na viwanja mmetupora wananchi.na bado mwapora rasilimali zaidi na kupeleka nje ya nchi.lakn mwisho wenu unakuja kama dola ya Rumi
Ni aibu kijana kutumia nguvu na akili yako kupinga ukweli na mabadiliko.iwapo umsomi unareason hivyo inasikitisha.kwani wazee wakati anaikomboa aliungwa mkono na wazee tu ambao walimtambika kwakuwajali wazalendo.lakini wewe na wanazi wenzio mnapotosha umma kwakuwakinga mabeberu mpore mali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.